GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Habari zenu wana JF, mimi ni mgeni humu ndani. Nasikitika niliingia bila kubisha hodi pengine kwa sababu ya Giza hivyo sikuweza kuuona mlango uliko, nikaamua kupitia dirishani kwa kuwa madirisha ya humu ni mapana sana. Naombeni mnisamehe kwani sasa ndo nimeuona mlango. Hakuna aliyekamilika isipokuwa ni MUNGU pekee. Nawashukuruni sana kwani licha ya kutambua kuwa nimepindukia halafu nikapitia dirishani bado mmenivumilia.