DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,212
- 4,515
Ndugu wana JF, kwa namana yakipekee kabaisa na kwa moyo mkunjufu ninatoa hoja ya kufuta kauli nilioitoa kwenye mojwapo ya post zangu ambayo nilipost tarehe 12 july, 2012 yenye kichwa cha habari " Wezi wa Tanesco ni Sengerema Engeneering Goup Ltd".
Kama nilivyo andika kwenye hiyo thread, nimekuja kugundua kwamba kulikuwa na miscommunication uliosababisha hali ile ususani kutoka upande wa mafundi wa kampuni tajwa na kwa afisa wa Tanesco niliripoti hii ishu kwake.
Baada ya kufuatilia kwa kushirikiana na Sengerema Engeneering Group Ltd, nimejiridhisha kwamba post yangu haikuwatendea haki hawa jamaa na ninapenda kuchukua fursa hii kuifuta hiyo post na pia kuwaomba radhi kwa usumbufu wa uliojitokeza kwenye image yao ya biahsara.
Ninaomba kutoa hoja.
Niwaombe radhi wana JF kwa usumbufu uliojitokeza kutokana na post yangu.
Kama nilivyo andika kwenye hiyo thread, nimekuja kugundua kwamba kulikuwa na miscommunication uliosababisha hali ile ususani kutoka upande wa mafundi wa kampuni tajwa na kwa afisa wa Tanesco niliripoti hii ishu kwake.
Baada ya kufuatilia kwa kushirikiana na Sengerema Engeneering Group Ltd, nimejiridhisha kwamba post yangu haikuwatendea haki hawa jamaa na ninapenda kuchukua fursa hii kuifuta hiyo post na pia kuwaomba radhi kwa usumbufu wa uliojitokeza kwenye image yao ya biahsara.
Ninaomba kutoa hoja.
Niwaombe radhi wana JF kwa usumbufu uliojitokeza kutokana na post yangu.