Kumradhi Mh Zitto Kabwe

Walio muita Zitto fisadi hawana budi kumwomba msamaha kwa vile alisimamia mawazo yake.Na hata hivyo mimi binafsi sioni kama mawazo yake ya kununua dowans ni viable soln.

Kitu kilichotakiwa kufanyika ilikuwa niku m-fire Idrisa baada ya kutamka giza ,maana amekuwepo ktk uongozi huo mda mrefu kwa hiyo hilo tatizo walitakiwa kuliona miaka ya nyuma mingi nakulitafutia tsuluhu.Na kama hawakuweza kuliona hilo tatizo basi Hawakufaa kabisa kuwa viongozi .

Technical mistake kitendo cha kuendelea kumbakisha Idrisa pale ina maana alijitahidi kwa kila namna ili kuhakikisha tu kile alichokisema lazima kinatokea.

ni uzembe wa hali ya juu kutomwajibisha Idrisa momentarily baada ya kauli yake.

Mkuu ndiyo mana nimekuwa confused na kumuuliza MKJJ yeye anasemaje, I trust the guy, can say something. Pili hatuwezi kurely kwenye mawazo ya Zitto, ni kama watanzania hawana solution?? ila afadhali Zito amesema, nimeuliza wengi hili swala, wengine hawajui waanzie wapi, tatizo ndio hili! Siamini kama Ziito ni fisadi yeye anasema kama yeye, na yeye sio nabii! swala je sisi wengine tunashaur nini?? hao akina mwakyembe kimya, watu wanakufa!

Tukifikia hapa mkuu wangu nadhani ipo haja yetu sisi kukaa pembeni na kuitazama picha nzima ya Dowans!..

Hata hivyo nitamalizia kwa kukukumbusha vitu vichache sana! ni kweli mwenye kusikia uchungu wa maumivu leo hii ni wewe uliyepo on the ground, lakini kumbuka tu haya yafuatayo..


.

Kufuatia maneno hayo, Mzee Mwanakijiji kama nakumbuka vizuri alimshauri rais wetu JK kuwasimamisha kazi Dr.Rashid na waziri Ngereja mara moja kwa sababu hawa ndio walikuwa kiini cha mchezo huo mchafu wa vitisho kwa wananchi wakati nafasi ya kufanya ufumbuzi ipo na ilikuwepo kwa muda..Hata hivyo, matokeo yake Serikali haikufanya kitu!


Aidha, rais Kikwete a step down kwa sababu kashindwa kutimiza ahadi yake kwa wananchi (rejea hotuba yake ya kufunga mwaka 2008, au Dr. Rashid na Ngereja wachukuliwe hatua kali na mipango mipya na yenye uhakika inafuatwa.

..

Nashukuru kwa post yako, mawazo ya MKJJ kama alisema jamaa watimuliwe alikuwa sahihi, japo alisahau JK angewafukuza kazi kivipi, wizara ambayo hata yeye alishindwa?? na je Hiyo mitambo hakuna mkono wa JK?? KAMA HUPO tumfanye nini?? (hapo ndio kaaaazi)

Tutaongea, tutapiga kelele, lakini mawazo ya MKJJ, bado anarudi katika kundi la watanzania wastaarabu , wenye brain, wenye mawazo ya upole na akili za upendo.

wakiamini kuwa mawazo yao yatasikilizwa, lakini imekuwa proved, HAKUNA KITU KAMA HICO, JK KUSIKILIZA MAWAZO MAZURI YA WATU KAMA AKINA MKJJ afadhali atembee uchi kariakoo!

Swali je, tunafanya nini?? tunbashauri nini kifanyike?? ikiwa tunaowaleleza ni kama Nguruwe they dont listen at all!

Nasema niko confused mkuu, siko katika hali ya kawaida sana.Ikiwa watanzania leo hii hawataungana na kusema CCM basi ondokeni madarani basi ushauri wa Zitto ni mzuri zaidi( acha tufe tukjua nani anatuua!!!)

IKIWA WATANZANIA LEO HII TUTASEMA NO, WOTE TUAMKE TUTA TATUA MATATIZO MEENGI SANA SIYO TANESCO TU!

Nikifikia hapo, kuna mtu atasema HOW??, well, VYAMA VYA UPINZANI VILITAKIWA VITUMIE HII CHANCE KULETA MAPINDUZI, vyama viko kimyaaa!! they all seek friendness with JK! ask Mbowe!

Ninapowaona watu wanapiga kelele usiku na mchana humu wakisema CHADEMA chama mbadala , huwa napata ugonjwa wa moyo, IS THIS REAL IN THIS TANZANIA??

NILIAMINI , NILIJUA MAWAZO YA ZITTO NI KUWA CCM YOTE I-STEP DOWN, NA KESHO WANAINGIA MITAANI KWA MAANDAMANO, lolote litakalotokea, acha tufanye maandamo kama mwezi , mwaka, tunachotaka CCM ing'oke

IKIFIKA MUDA TUKAONA HII OPTION YA KUWAONDOA CCM MADARAKANI KWA DEMONSTRATION HAIFANYI KAZI, kwa sababu sisi wenyewe tunaridhika na dhiki hizi, wala hatuko ready for some moves. Then what Zito said is relevant for TANZANIAN!

Ninapomwona Zitto , namheshimu,naona anaakili sana, zilizojaa ustaarabu jamii ile ile ya akina MKJJ, these guys are smart, trust me, LAKINI NAONA WANATAKIWA ZAIDI KUMSHAURI OBAMA NA STEVE HARPER, those guys that they may listen from them and probably do what they desire.

KWA DUNIA YA TATU, mawazo ya hawa jamaa akina Ziito, MKJJ-HAYAFANYI KAZI SASA. naona yanatakiwa kusikilizwa miaka 50 ijayo. WAKATI BASE IMEWEKWA, base ya kutengeneza viongozi wataowasikiliza wananchi wao!!!, The time to train these leaders is now!

I think we should think differently now! upole wetu huu unatuua.
 
Wacha kucheza na maneno hapa, wataalamu walikuwa wazi kuwa mitambo ya kununuliwa ni ya Dowans simple kwa kuwa ndiyo iliyokuwa available.

Mbona unatufanya Watanzania sote hatuna maana ukiwapamoja na wewe kwa kusema kuwa mchezo huu wote ulikuwa wa mtu mmoja na kwa sababu ya mtu mmoja huyo si serikali na Rais wake, si Bunge na wapiganajiwake Si Jamiiforum ikiongozwa na August, walioweza kungamuwa ubaya wa huyu mtu na kutafuta njia mbadala na kuepukana na mgao.

Wacha Bwana! kama tulishindwa kwa kila hali na kamati ya Bunge ikithibitisha kuwa hatuwa zifaazo zimechukuliwa lakini tatizo bado lipo ni dhahiri kuwa wataalamu walikuwa sahihi na kama si hivyo basi kwa umoja wetu na tutafute suluhisho badala ya lililopendekezwa na Fisadi Rashid (kwa maoni yako, kwani mimi sioni kuwa alistahili lawama)
kwa kuwa wewe una akili, basi ulitakiwa ujumlishe akili za wataalamu wengi, moja ni wa mambo ya umeme, ambao wata recommend aina ya mtambo unao hitajika, then wanakuja wa mambo ya sheria wataangalia legality of that contract na consequencies zake , then mambo ya ununuzi na mambo ya finance ambaye ataangalia njia za kupata fedha za kununua , sasa engineer huwezi kumuhusisha katika masuala mengine zaidi ya kusema nataka generator or turbine ya 100mw etc, kwa hiyo nakuomba ufikirie kwa mapana zaidi na ujue mambo yanayo husika na kununua mitambo.
 
Waberoya,
I think we should think differently now! upole wetu huu unatuua.
Jibu unalo..Rejea mada ya Rev. Kishoka inayohusu Utulivu na Ukimya wetu kuwa ndio ishara ya amani nchini..
 
Walio muita Zitto fisadi hawana budi kumwomba msamaha kwa vile alisimamia mawazo yake.Na hata hivyo mimi binafsi sioni kama mawazo yake ya kununua dowans ni viable soln.

Kitu kilichotakiwa kufanyika ilikuwa niku m-fire Idrisa baada ya kutamka giza ,maana amekuwepo ktk uongozi huo mda mrefu kwa hiyo hilo tatizo walitakiwa kuliona miaka ya nyuma mingi nakulitafutia tsuluhu.Na kama hawakuweza kuliona hilo tatizo basi Hawakufaa kabisa kuwa viongozi .

Technical mistake kitendo cha kuendelea kumbakisha Idrisa pale ina maana alijitahidi kwa kila namna ili kuhakikisha tu kile alichokisema lazima kinatokea.

ni uzembe wa hali ya juu kutomwajibisha Idrisa momentarily baada ya kauli yake.
Usiishie kwa Idris....angeanza the Top! Waziri Ngeleja!!! na obdi nzima ipigwe chini
 
...mawazo kama haya mtakaa gizani milele!

Kabisaa! Zito hata huyu Masatu wanaweza kuwa na nia nzuri lakini dhamira zao hazilisaidii Taifa hata kidogo. Kinachogombaniwa hapa sikwamba mitambo ya Dowans siyo suluhisho bali hatutaki kuwatia moyo mafisadi kwamba wanaweza kututega namna hii na tukaingia mkenge kwasababu kama taifa hatuma miiko yani solutions halali na haramu zote ni sawa ilimradi zina tatua matatizo yetu. Mawazo na misimamo ya namna hii lazima ipingwe kwa nguvu zote. Mawazo ya Zito yangetufaa kama nchi yetu ingekuwa kampuni, lakini si kampuni ni taifa ambalo linajali hali ya vizazi vyake vya sasa na baadae, hivyo ni bora kuvumilia hii blackmail ya giza kuliko kukubali mwanga wa muda na kurudi gizani mwakani na miaka ijayo.

We should say no to anything that benefits 'mafisadi' because they don't have our best interest at heart.
 
Kabisaa! Zito hata huyu Masatu wanaweza kuwa na nia nzuri lakini dhamira zao hazilisaidii Taifa hata kidogo. Kinachogombaniwa hapa sikwamba mitambo ya Dowans siyo suluhisho bali hatutaki kuwatia moyo mafisadi kwamba wanaweza kututega namna hii na tukaingia mkenge kwasababu kama taifa hatuma miiko yani solutions halali na haramu zote ni sawa ilimradi zina tatua matatizo yetu. Mawazo na misimamo ya namna hii lazima ipingwe kwa nguvu zote. Mawazo ya Zito yangetufaa kama nchi yetu ingekuwa kampuni, lakini si kampuni ni taifa ambalo linajali hali ya vizazi vyake vya sasa na baadae, hivyo ni bora kuvumilia hii blackmail ya giza kuliko kukubali mwanga wa muda na kurudi gizani mwakani na miaka ijayo.

We should say no to anything that benefits 'mafisadi' because they don't have our best interest at heart.

And ignore their whistle blowers!
 
Zitto is a champion on this issue.
After being given technicalities of buying,transportation and installation of new machines he realized that,no way can new machines be bought and operate in time before the country be in DARK.
It could be wise to buy those for emergence while procedures are made to tackle the problem once and for all.
"Strong man is the one who stands alone". Zitto you're the one.

na wewe una ka-harufu ka ufisadi...!
 
Back
Top Bottom