Kumlinganisha Mrema wa 1995 na Dr Slaa wa 2010 ni sawa na nuru ya Mwezi vs ya Jua

Kutokana na kuposha mara kwa mara na kutoa taarifa ambazo hana uhakika nazo, Dr.Wilbroad Slaa ameonekana kupoteza mvuto kwa baadhi ya watu.

Kwa kuwa kila taarifa anayotoa kwa mbwembwe inapingwa na kukanushwa hadharani, jamii kubwa sasa inaonekana kumpuuza sana Dr.Slaa kwa sasa na hii huenda ikampunguzia umaarufu wake na watu kumfananisha na enzi za Augustino Mrema alipokuwa akitoa mabomu kama haya ya Slaa.

Umeona nyomi la Iringa leo?
Tangu 2005 mlisema bado kidogo hadi leo hii tena oooh bado kidogo. Wananchi wameshajichokea
 
Tatizo kubwa ambalo lilimgarimu Mrema na litaendelea kumgarimu ni ELIMU hafifu aliyonayoa .Kutokana na kuwa na uelewa mdogo ndio maana alishindwa kujieleza kwenye ule mdahalo(1995) .MREMA anaweza kuwa ni mtendaji mzuri ila kutokana na uweledi mdogo kumfananisha na Dr.Slaa (Phd) ni kama mnafanya utani kabiasa
 
Ana phd lakini kanunuliwa. Maprofessor kibao wanachemka kuanzia yule mana wa escrow. Yule aliekuwa waziri wa elimu na yule aliekuwa wa mambo ya uneme. Bure kabisa
 
Ana phd lakini kanunuliwa. Maprofessor kibao wanachemka kuanzia yule mana wa escrow. Yule aliekuwa waziri wa elimu na yule aliekuwa wa mambo ya uneme. Bure kabisa
Kuongoza wapumbavu raha sana. Kumbe Slaa ndiye kanunuliwa?!
 
Back
Top Bottom