Hii nayo inabidi iwe tahadhari yakhee coz unaweza kujikuta unagraduate kabla ya muda aisee!!Walimu wengine bana...!!au mmechukuliana wanawake mkuu?
Halafu mishahara yao minono, japokuwa wapo wanaodiserve.hii ndio Tz...ukifeli lecturer anafurahia badala ya kukusaidia