Kumkumbuka Mary Shoo

Ni sawa kabisa kutujuza . Kwa viwango vyetu eti kwetu Tanzania huyo mama ni celebrity, ingekuwa UK angepewa cheo pengine angeitwa Baroness , lakini kwetu celebrities ni WEMA NA MWENZIWE SINTA.
 
So sad,hiyo inaonyesha ni jinsi gani ujambazi umekithiri katika jamii yetu.Haya ni baadhi ya mambo ambayo yanakatisha watu tamaa kujiajiri kwani unajua siku moja pesa yako itakumaliza.Ndio maana Mungu anatuadhibu watanzania kupitia Ajari za magari,meli n.k
 
huyu mama alikuwa mmiliki wa majumba kadhaa maeneo ya masaki, mikocheni na mbezi jijini daressalam hata uingereza alikuwa na majumba, aliendesha biashara zake kwa mafanikio makubwa.
Alianza na biashara ya kuuza kuku na kutengeneza tambi mwanzoni mwa miaka ya 80 kabla ya kujikita na kununua viwanja na kujenga majumba na kisha kuyapangisha
kama wiki mbili zilizopita alivamiwa na wezi nyumbani kwake masaki inasemekana wezi walimpiga pamoja na mlinzi wake wakachukua kama kiasi cha zaidi ya bilioni 1 alifariki baada ya siku 5 kutokana na majeraha aliyopata katika hospitali ya navy masaki
siku moja kabla ya tukio alikuwa ametoka kuuza nyumba yake mojawapo anayomiliki kwa makadirio ya sh 800 milioni na kwenda na ela za mauzo hayo nyumbani kwake
marehemu ameacha mtoto mmoja anayeitwa pamela ambaye alimsomesha kwenye vyuo bora kabisa uingereza na kupata masters in economics na kufanikiwa kupata kazi nzuri uingereza

oooh lord mwanga wa milele umpe ee bwana
lubazi umenishtua wiki moja iliopita nilimpandisha ndugu yake mmoja lift frm banana akasema anaenda masaaki nikamwambia na m naenda huko huko nikamuliza kwema akasema ashangazi yake amepugwa na majambazi na kuibiwa hela nyingi tu aziehasibiki..jamani loh na amekufa na presha ya hizo hela maumivu awakumuumiza sana yule mama alijijenga ajamani mwanae nasikia alikuwa nje kapata jamaa wa kimarekani ana njugu kama nyota za angani akamwambia mamake asihangaike sana sa na juu yake yeye ashakabidhiwa nyumba kadhaa usa ajisaidie mwenyewe huku akimpa tafu loh..masikini dada pam polen sana sana
 
alikuwa mfano wa kuigwa kuwa alikuwa mfanyabiashara mwanamke aliyefanikiwa kwa jitihada zake hasa ikizingatiwa sio rahisi kwa tanzania ya leo mwanamke kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kama chake

kuiga kuweka hela zote hizo hom...? achen huruma za kishenzi bana......! !
 
Tsh 1Bn cash ndani ya nyumba? Dunia ya leo? Hata kwa dunia ya kwanza hiyo ni pesa nyingi sana kuwekwa ndani tu. Mafanikio yako ndio anguko lako RIP
 
Back
Top Bottom