Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Kuna kitu hii huwa naisikia sana kwa watu wazima,zamani kabla ya miaka ya tisini wasichana wengi walikuwa wanatafutiwa wachumba, au wazee wa jirani au ukoo fulani wanaleta posa moja kwa moja nyumbani kwa wazazi wa msichana husika,kwa wakati huo ukikuta kuna msichana yupo kwao mpaka miaka 40 hajaolewa ukiuliza utasikia huyu alimkata mchumba wake wa kwanza akapata laana kwa mungu
Nikiangalia kuna ndugu zangu wawili wanawake watu wazima nao naambiwa na ma mdogo waliwakataa wachumba wao wa kwanza huko zamani na sasa ni watu wazima mmoja kajizalia watoto mwingine bado hajazaa.Naomba wanaJf wanijuze hii ni kweli? vipi kwenye jamii inayokuzunguka yupo aliyekataa kuolewa badae akakosa mume? Hii ipo katika karne hii ya millenium?naomba kuwakilisha
Nikiangalia kuna ndugu zangu wawili wanawake watu wazima nao naambiwa na ma mdogo waliwakataa wachumba wao wa kwanza huko zamani na sasa ni watu wazima mmoja kajizalia watoto mwingine bado hajazaa.Naomba wanaJf wanijuze hii ni kweli? vipi kwenye jamii inayokuzunguka yupo aliyekataa kuolewa badae akakosa mume? Hii ipo katika karne hii ya millenium?naomba kuwakilisha