Za leo wana Jf, nataraji mko vzr. kuna ishu moja imenishangaza kidogo, watu wakishaona majina kwenye website ya watu kuitwa kwenye usahili basi wanaanza kutafuta information za wale wanaooneka kuwa watafanya interview nao!
Kwa mfano kuna sehemu tuliitwa watu 8 kwa ajir ya kufanya interview ya assistant lecturer, ila siku nilipofika kwenye eneo la interview nilishangaa kuona kuna mtu ananijua kwa jina! Baada ya kuzoeana nikamuuliza alinijuaje maana sikuwa na kumbukumbu ya kukutana naye hapo kabla. ndo aliponiambia kuwa alikuwa akiingiza majina ya watu kwenye google na kutafuta habari zao kama kujua matokeo yao ya form iv na six na kujua wamesoma vyuo gani?
Mi nilishangaa kwa kweli, na badae mtu mwingine tena akaniambia yeye pia huwa anafanya ivyo ili kujua hao atakaopambambana nao wakoje!
Je wewe mwana Jf unadhan ukimjua mpinzani wako in advance inakusaidia au ni kupoteza muda?
Kwa mfano kuna sehemu tuliitwa watu 8 kwa ajir ya kufanya interview ya assistant lecturer, ila siku nilipofika kwenye eneo la interview nilishangaa kuona kuna mtu ananijua kwa jina! Baada ya kuzoeana nikamuuliza alinijuaje maana sikuwa na kumbukumbu ya kukutana naye hapo kabla. ndo aliponiambia kuwa alikuwa akiingiza majina ya watu kwenye google na kutafuta habari zao kama kujua matokeo yao ya form iv na six na kujua wamesoma vyuo gani?
Mi nilishangaa kwa kweli, na badae mtu mwingine tena akaniambia yeye pia huwa anafanya ivyo ili kujua hao atakaopambambana nao wakoje!
Je wewe mwana Jf unadhan ukimjua mpinzani wako in advance inakusaidia au ni kupoteza muda?