Kumi bora na Shule mbili

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,193
25,504
Nianze kuzipongeza Shule zote zilizoshiriki mitihani ya kidato cha pili na kupokea walichostahili.Nawapongeza pia wanafunzi waliofaulu na kuwapa moyo wanafunzi wanaotakiwa kukariri kidato cha pili mwaka huu 2013.

Nikiri kuwa,ni mara yangu ya kwanza katika maisha yangu ya miaka niliyokuwepo hapa duniani kuona,kusikia au kuambiwa kuwa wanafunzi bora kumi wa mitihani yoyote ile ya Taifa:darasa la saba,kidato cha pili,kidato cha nne au cha sita kutoka katika Shule mbili tu.

Hii naiona kama dalili ya kudumaa kwa elimu yetu iliyokuwa imesheheni changamoto za kishule.Sasa,shule za walionacho tu zinafanya zipendavyo.Hili si jambo jema. Ushindani ule uko wapi?

Hongereni St.Francis na Kaizirege kwa kuwafanya wenzenu 'vibaya'!

5.0UFAULU WA WANAFUNZI
Wanafunzi Walioshika Nafasi Kumi za Mwanzo
Na
JINA
JINSI
SHULE
1. MAGRETH KAKOKO KE ST FRANCIS
2. QUEEN MASIKO KE ST FRANCIS
3. LUKUNDO MANASE ME KAIZIREGE
4. FRANK J NYANTARILA ME KAIZIREGE
5. GRACE MSOVELLA KE ST FRANCIS
6. HARIETH MAKIRIYE KE ST FRANCIS
7. ROBINNANCY MTITU KE ST FRANCIS
8. HUMRATH LUSHEKE KE ST FRANCIS
9. MUKHSIN HAMZA ME KAIZIREGE
10. ANASTAZIA KABELINDE KE KAIZIREGE
 
Nianze kuzipongeza
Shule zote zilizoshiriki mitihani ya kidato cha pili na kupokea
walichostahili.Nawapongeza pia wanafunzi waliofaulu na kuwapa moyo
wanafunzi wanaotakiwa kukariri kidato cha pili mwaka huu 2013.

Nikiri kuwa,ni mara yangu ya kwanza katika maisha yangu ya miaka
niliyokuwepo hapa duniani kuona,kusikia au kuambiwa kuwa wanafunzi bora
kumi wa mitihani yoyote ile ya Taifa:darasa la saba,kidato cha
pili,kidato cha nne au cha sita kutoka katika Shule mbili tu.

Hii naiona kama dalili ya kudumaa kwa elimu yetu iliyokuwa imesheheni
changamoto za kishule.Sasa,shule za walionacho tu zinafanya
zipendavyo.Hili si jambo jema. Ushindani ule uko wapi?

Hongereni St.Francis na Kaizirege kwa kuwafanya wenzenu 'vibaya'!

5.0UFAULU WA WANAFUNZI
Wanafunzi Walioshika Nafasi Kumi za Mwanzo
Na
JINA
JINSI
SHULE
1. MAGRETH KAKOKO KE ST FRANCIS
2. QUEEN MASIKO KE ST FRANCIS
3. LUKUNDO MANASE ME KAIZIREGE
4. FRANK J NYANTARILA ME KAIZIREGE
5. GRACE MSOVELLA KE ST FRANCIS
6. HARIETH MAKIRIYE KE ST FRANCIS
7. ROBINNANCY MTITU KE ST FRANCIS
8. HUMRATH LUSHEKE KE ST FRANCIS
9. MUKHSIN HAMZA ME KAIZIREGE
10. ANASTAZIA
KABELINDE
KE KAIZIREGE

Waziri mwenye kusimamia elimu ni kiazi, repeater, mwizi wa jina la mtu, amesoma kwa magumashi, kichwa cheupe-kichwa nanga.
Je, unategemea elimu itakuwepo???
 
Hii nayo kali
Tutaona madudu mengi na hii wizara yetu inayoongozwa na aliyeiba vyeti vya watu.
R.I.P. PHILIP MULUGO

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Duh ME tumeburuzwa mpaka aibu!!! Hebu nielewesheni hii KAIZIREGE ni ya wapi? Boarding au day? Private au Govt?
 
nd elmu ye2 wadau hao vijana c nd wale waliopta kw makx 90 kat ya 250 daraxa la 7 unategemea fanye majabu mthan wa fm 2
 
mbona mwaka 2007 necta form 4 top 10 ilikuwa st.Francis tu wanafunzi wote,mimi sioni cha ajabu hapo!
 
Ebu tusaidie matokeo mengine yanapatikana kwenye link / adress gani?
Mkuu katalina,matokeo ya kidato cha pili ni kama ya darasa la saba. Hayawekwi mtandaoni. Hupatikana kwenye vitabu vya matokeo Wilayani,Mkoani na mashuleni.
 
Last edited by a moderator:
Halafu kwa nini MUKHSIN HAMZA yupo peke yake?

ha ha ha ha wakati nasoma hii post na majina nilijua lazima nitakutana na hii kitu nimecheka sana, plz ebu acha uchokozi mkuu maana ukiwachokoza watakuja kama mvua shauri yako,
 
Back
Top Bottom