kkakuona
Member
- Jan 12, 2010
- 70
- 2
Hapana mama yangu, Misri ni maandamano ya amani. Walichoma jengo la chama tawala kama symbol ya kuukataa utawala wa chama hicho. Walichma magari ya polisi kama symbol ya kukataa polisi wasiwazuie. Lakini yote haya yalifanyika kwa dola siyo kwa raia kwa hiyo hakuna mtu atakuja kulipa kisasi. Lakini hilo la Babati ni tofauti kabisa. Hadi sasa hakuna raia amepigwa na raia mwenzake huko Misri. Ikitokea nitaikemea kwa sababu ni hatari itapelekea visasi, mauaji ya kimbari.
Acha kutuyeyusha wewe. Na hawa wanachoma hivyo viwanda kama symbo ya kukataa kuendelea kunyonywa na gabachoris. Nadhani hata wahindi wa Rites nao wanatakiwa wafanyiwe hivyo na watimuliwe kabisa. Wanatulitea marichmond na Dowans bure. Ile reli ya kati ilikuwa inaoperate japo kwa kusuwasuwa kabla kampuni halijabinafisishwa. Kapewa mhindi limelala usingizi wa pono kabisa. Wachapwe viboko wale waende zao India huko.