YeshuaHaMelech
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 2,597
- 37
Naunga mkono wananchi kujieleza kwa namna yoyote ile isipokuwa kuharibu mali na maisha. Haki ni kwa kila mtu, walichofanya ni ukatili kwa binadamu wenzao. Tutaishia kwenye maafa na ulipizaji kisasi badala ya ukombozi. Ndicho kinachoitafuna Somalia.
Nalaani na kupinga kabisa kitendo hicho!
mhh! Mbona unakuwa sura mbili weye! Kule misri ulikokuwa unashabikia walitumia mbinu gani yakhe! Au kwa kuwa presida wa hapa ni nnanihii....