King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
kinachosikitisha zaidi ni kuwa kamwe hatujifunzi chochote kutokana na majanga tunayopata. insurance companies nazo haziwezi kubana wateja wao kwa sababu wao hawawajibiki hata siku moja! hapo hawatalipwa zaidi ya ubani wa ubwabwa na maisha yataendelea hadi janga lingine lije! kama insurance zingelazimika kulipa billions kwama fidia,utaratibu ungekuwepo na ungefuatwa! hii ni 3rd world,banda la uani!
mkjj,thanks for doing ur part
mkjj,thanks for doing ur part