it doesnt make sense kumshitaki waziri kwa maamumizi aliyoyafanya kama waziri and the somehow believe that mkuu wake wa kazi yuko safi!!! hiki ndicho anachosema Mramba, and he is damn right...
meli ikipotea njia captain ndio anapaswa kuwa mtu wa kwanza kuulizwa sababu za kupotea, sio wasaidizi wake.
Haitatokea hata siku moja mpaka CCM wapungue Bungeni Mkapa avuliwe kinga when then?