Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Pengine mie ndio most pessimistic: Magurudumu hayakuwepo in the first place,kwahiyo kinachokongoroka sasa ni mahala palipostahili kuwekwa magurudumu hayo.
Kikwete ana dhambi nyingi alizochuma kati ya 1995-2005 wakati alipokabidhi utu wake kwa viumbe hatari kabisa waliokuja kufahamika baadaye kama wanamtandao.Hawa ni mithili ya mafioso,na wameacha makovu makubwa katika maisha ya wengi.
Sasa ukichanganya na hii ya kuua raia wasio na hatia huko Arusha,ni dhahiri huyu Mkwere analazimisha hasira za Muumba.Sintoshangaa siku mwanae,Ridhiwani nae akajitokeza kumpiga baba yake hadharani au Salma kuomba talaka (I know it's wishful thinking but anything goes)....
Kikwete ana dhambi nyingi alizochuma kati ya 1995-2005 wakati alipokabidhi utu wake kwa viumbe hatari kabisa waliokuja kufahamika baadaye kama wanamtandao.Hawa ni mithili ya mafioso,na wameacha makovu makubwa katika maisha ya wengi.
Sasa ukichanganya na hii ya kuua raia wasio na hatia huko Arusha,ni dhahiri huyu Mkwere analazimisha hasira za Muumba.Sintoshangaa siku mwanae,Ridhiwani nae akajitokeza kumpiga baba yake hadharani au Salma kuomba talaka (I know it's wishful thinking but anything goes)....