Tundapori
JF-Expert Member
- Aug 12, 2007
- 645
- 260
Mimi naangalia upana wa nafasi kati ya kidole gumba na kidole cha pili!
Mchungaji, unatumia darubini gani hiyo kujua upana wa nafasi kati ya vidole hivyo? na uliweka maginification kiasi gani?
Mimi naangalia upana wa nafasi kati ya kidole gumba na kidole cha pili!
Tutakuwa wote mjengoni MR inshallah tukijaliwaNgoja nijiandae 2015:smile-big:
Halima mdee uso umekuwaje tena?
Hivi huyu mbunge mwingine upande wa kulia kwa Vicky Kamata ndio nani wajamani?
jamani nime fall kwa bodigadi wa vicky kamata.....mwenye mawasiliano pleaseee!
halima mdee ananyoa ndevu??? mbona uso uko vile au ndo mikiki ya kampeni????
I am happy niwaonapo wapambanaji wakiwasili bungeni. naona SITTA anakosa ule ujasiri wake wa kawaida anafanya kazi ya steward mlangoni hahaha
Sijabahatika kufika dodoma au kuliona jengo la bunge kwenye picha au live lakini leo nimeliona hapa JF, mbona linaomwonekano wa kama msikiti??? nani ali-design, nani alifadhili ujenzi wake? au ndio maandalizi ya OIC membership
Ngoja nijiandae 2015:smile-big: