Kumega na kumegwa kuna madhara gani wakati wa kuoana?

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,489
79
wana JF,

Wadau mbalimbali wanasema kwamba wanaume walio wengi wanakuwa ni wagumu tena hawapendi kufunga ndoa na wanawake waliomegwa na rafiki zao (rafiki ya mwanamume)...

Lakini kwa upande wa wanawake waliowengi hawanakasumba hii ya (kuogopa/kuhofia/wivu) kutofunga ndoa na mwanamume aliyewahi kumega rafiki yake (rafiki wa kike wa muolewaji). Wanawake tena wanaona sawa kwani kama walimegana ni zamani.

Kwanini wanaume wanakinyongo aaagh 'mi siwezi' kufunga nae ndoa kwani alishawahi kumegwa na 'fulani' ambaye ni rafiki yangu....

Kunani? Je, wanaume ndivyo walivyo? Nini kinasababisha hali hiyo?

Nawasilisha hoja!
 
Mkuu kama jamaa 'ako wa karibu alishawahi kummega wife ni dhahiri kuwa atakuwa na dharau flani kwako, mkiwa na huyo rafiki yako mahali pamoja na wife utajisikia komfotabo kweli?
 
ukiwa km mwanaume rijali sidhani km utajiuliza mara mbili, ukioa, mwanaume heshima yako kubwa inategemea sana na tabia ya mkeo, km mkeo alishawahi megwa na friend wako wa karibu hadhi yako mbele za wanaume wenzio itakuwa ndogo sana. amini usiamini mwanamme anaweza akawa na wanawake hata wanne nje ya ndoa lkn akisikia yule mke wake kamegwa na mtu, kweli hapatakalika talaka lazima itolewe, kwa mwanamme lile tunda ukioa lapaswa kuwa lako na si mtu mwingine sasa wewe unataka oa mwanamke ambaye rafiki yako anamjua kila kitu, alilimega akalitwaa wakapeana kishkaji wakisema tutwae tule wote, hili tunda la kati tulile nje ya ndoa hahaa jamani mimi ndo maana sitaki kumega nje ya ndoa
 
JP Kwangu hii ndiyo ilikuwa/na mpaka sasa ndiyo sababu ya kukataa kumega msichana yeyote au mke wa mtu awaye yeyote. Moyoni niliazimia kwamba sitaki

1. Kulinganisha mapenzi atakayonipa msichana/mwanamke yeyote na yale atakayonipa/anayonipa mke wangu

2. Awepo msichana yeyote/mwanamke yeyote ambaye atajidai kuwa aliwahi kulala na mimi zaidi ya mke wangu.

JP ninashauri kwamba isiwe tu ni kwa njisia fulani bali ambaye hajaoa au kuolewa asimege au kumegwa mpaka siku ya kufunga ndoa.

Aliyeoa au kuolewa asimege au kumegwa nje ya ndoa. NAKUHAKIKISHIA INAWEZAKANA ni suala la kuweka nidhamu katika jambo hili. Na kwa kufanya hivi utaifurahia ndoa yako kwani inakuwa kama PARADISO. Kumega au kutokumegwa siyo kama chakula ambacho ukikosa unakufa, kinachotakiiwa ni kuvumilia na kusubiri muda wake muafaka na kwa mwenzi wako wa maisha.

Nawasilisha
 
ukiwa km mwanaume rijali sidhani km utajiuliza mara mbili, ukioa, mwanaume heshima yako kubwa inategemea sana na tabia ya mkeo, km mkeo alishawahi megwa na friend wako wa karibu hadhi yako mbele za wanaume wenzio itakuwa ndogo sana. amini usiamini mwanamme anaweza akawa na wanawake hata wanne nje ya ndoa lkn akisikia yule mke wake kamegwa na mtu, kweli hapatakalika talaka lazima itolewe, kwa mwanamme lile tunda ukioa lapaswa kuwa lako na si mtu mwingine sasa wewe unataka oa mwanamke ambaye rafiki yako anamjua kila kitu, alilimega akalitwaa wakapeana kishkaji wakisema tutwae tule wote, hili tunda la kati tulile nje ya ndoa hahaa jamani mimi ndo maana sitaki kumega nje ya ndoa

nimekugongea thanks hapo kwenye red mkuu,siwezi kuoa mke ambaye alishawahi kumegwa na friend,duuuh noma ukiwa nae washikaji watasema mmmmmh hamna kitu pale watu tumeshagalagaza,
 
JP, kwanza tuweke jambo fulani sawa. Je, katika mahusiano anaemegwa ni mwanaume au mwanamke? Mi nadhani ni mwanaume. Think about it. Whose part of the body disappears into the other's?

Let's just give women the upper hand on this one. Wao ndio wanaomega!
 
From personal experience, ni rahisi zaidi kwa jamaa (mwanaume) kummega mke wa mtu kama aliwahi kummega zamani (kabla huyo mwanamke hajaolewa).

Kwa hiyo mshkaji wako aliyewahi kujivinjari na demu ambaye sasa ni wife wako anaweza "kukumbushia" ikawa taaabu.....
 
From personal experience, ni rahisi zaidi kwa jamaa (mwanaume) kummega mke wa mtu kama aliwahi kummega zamani (kabla huyo mwanamke hajaolewa).

Kwa hiyo mshkaji wako aliyewahi kujivinjari na demu ambaye sasa ni wife wako anaweza "kukumbushia" ikawa taaabu.....
lol, bora niwe makini eeh
 
ukiwa km mwanaume rijali sidhani km utajiuliza mara mbili, ukioa, mwanaume heshima yako kubwa inategemea sana na tabia ya mkeo, km mkeo alishawahi megwa na friend wako wa karibu hadhi yako mbele za wanaume wenzio itakuwa ndogo sana. amini usiamini mwanamme anaweza akawa na wanawake hata wanne nje ya ndoa lkn akisikia yule mke wake kamegwa na mtu, kweli hapatakalika talaka lazima itolewe, kwa mwanamme lile tunda ukioa lapaswa kuwa lako na si mtu mwingine sasa wewe unataka oa mwanamke ambaye rafiki yako anamjua kila kitu, alilimega akalitwaa wakapeana kishkaji wakisema tutwae tule wote, hili tunda la kati tulile nje ya ndoa hahaa jamani mimi ndo maana sitaki kumega nje ya ndoa

hahahaha umemaliza kila ki2 hapa limao
 
nimekugongea thanks hapo kwenye red mkuu,siwezi kuoa mke ambaye alishawahi kumegwa na friend,duuuh noma ukiwa nae washikaji watasema mmmmmh hamna kitu pale watu tumeshagalagaza,
eti washagalagaza, lol
 
JP, kwanza tuweke jambo fulani sawa. Je, katika mahusiano anaemegwa ni mwanaume au mwanamke? Mi nadhani ni mwanaume. Think about it. Whose part of the body disappears into the other's?

Let's just give women the upper hand on this one. Wao ndio wanaomega!
m/ume ndio anamega na m/mke anamegwa!
 
JP Kwangu hii ndiyo ilikuwa/na mpaka sasa ndiyo sababu ya kukataa kumega msichana yeyote au mke wa mtu awaye yeyote. Moyoni niliazimia kwamba sitaki

1. Kulinganisha mapenzi atakayonipa msichana/mwanamke yeyote na yale atakayonipa/anayonipa mke wangu

2. Awepo msichana yeyote/mwanamke yeyote ambaye atajidai kuwa aliwahi kulala na mimi zaidi ya mke wangu.

JP ninashauri kwamba isiwe tu ni kwa njisia fulani bali ambaye hajaoa au kuolewa asimege au kumegwa mpaka siku ya kufunga ndoa.

Aliyeoa au kuolewa asimege au kumegwa nje ya ndoa. NAKUHAKIKISHIA INAWEZAKANA ni suala la kuweka nidhamu katika jambo hili. Na kwa kufanya hivi utaifurahia ndoa yako kwani inakuwa kama PARADISO. Kumega au kutokumegwa siyo kama chakula ambacho ukikosa unakufa, kinachotakiiwa ni kuvumilia na kusubiri muda wake muafaka na kwa mwenzi wako wa maisha.

Nawasilisha


Nimekungea thanks kama kweli uliweza vumilia....lol..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom