Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Ni mambo mengi sana mazuri amefanya Mzee Moses Nnauye ila kosa kubwa na ambalo hatutamsamehe ni kwa kumzaa Vuvuzela Nape maana ni BOGUS BOGUS BOGUS!
Mbona Nape hajawekwa kwenye list ya watoto wa marehemu ktk matangazo yaliyopo kwenye vyombo vya habari?