Kumbukumbu ya Brigedia Gen. Moses Nnauye!

Ni mambo mengi sana mazuri amefanya Mzee Moses Nnauye ila kosa kubwa na ambalo hatutamsamehe ni kwa kumzaa Vuvuzela Nape maana ni BOGUS BOGUS BOGUS!


Mbona Nape hajawekwa kwenye list ya watoto wa marehemu ktk matangazo yaliyopo kwenye vyombo vya habari?
 
Binafsi namkumbuka Brigedia Mosses Nnauye kuliko hata ninavyomkumbuka Nyerere. Nnauye aliipenda sana nchi yake, alionyesha njia kwa wasanii wa nchi hii hasa kundi lake la TOT.
Brigedia Nnauye ni mtu wa kuheshimiwa sana, kwani hata wakati wa serikali ya Mwalimu na ya Mwinyi alionyesha wazi kuwa yeye ni mtu anayetetea ukweli mpaka mwisho.

Brigedia Nnauye angelikuwa hai akiwa na akili zake zile zile asingevumilia kuwa ndani ya chama cha majambazi akina jk!

Nyimbo:
sisi tunataka kuwasha mwenge,
Tunataka kuwasha mwenge,
umulike hata nje ya ya mipaka yetu
ulete tumaini.

Samahani kidogo labda sijakuelewa maana umenishtuwa, yaani unamaanisha kwamba hayo mashairi aliyoyatunga ndio akumbukwe kuliko Nyerere? au kuna lipi Moses Nnauye alilifanya ambalo wewe unaona anastahili kukumbukwa kuliko Nyerere! maana kama ni Mashairi tu basi hata Mrisho Mpoto utasema akumbukwe zaidi ya Nyerere.
 
Picha hapo juu nimeitoa michuzi blog, mbona jina la Nape silioni katika members wa familia ya Nnauye? Naomba maelezo kwa wadau wenye taarifa sahihi

Nape ni mtoto wa nje ya ndoa ya mzee Nnauye,hakupata malezi ya ndoa ndiyo maana amekuwa akiropoka sana,vuvuzela la kutupwa.a.k.a jinga
 
The romantic ni mtu wa karibu na familia atawajibu. poleni lakini ilimpasa aonje mauti tena kaishi sana tu 2001-1937=64. si haba hiyo
 
Jamani mzee mnauye alikuwa mzalendo, ila kuhusu suala la kijana wake nape mimi sijui nini kilitokea....sijui... Ila anyway...wanasema sio watoto wote wa mamba ni mamba, wengine ni kenge,naamini huyu nape ndie kenge pekee ndani ya familia ile
 
Moses Nnuye:

- Alisomea wapi "u-jeshi"? au ni "u-brigedia" wa kisiasa?

- Alifanya mambo gani katika nchi hii ambayo yatatufanya tusimsahau na kum-delete?

Kwa binafsi yeye na Paul Sozigwa ni sawa sawa tu - Vuvuzela wa wakati huo!
 
Nape ni mtoto wa nje ya ndoa ya mzee Nnauye,hakupata malezi ya ndoa ndiyo maana amekuwa akiropoka sana,vuvuzela la kutupwa.a.k.a jinga
Wanaume wajifunze waache kuzaa nje ya ndoa,at the end mtoto ndo anaeumia,nina uhakika Nape kajisikia vibaya jina lake kutokuonekana kwenye tanganzo lililoonekana dunia nzima
 
picha hapo juu nimeitoa michuzi blog, mbona jina la nape silioni katika members wa familia ya nnauye? Naomba maelezo kwa wadau wenye taarifa sahihi
mzee nnauye alikua na nyumba mbili,tangazo limetolewa na nyumba kubwa!
 
Inawezekana aliyeandaa tangazo ni Nape lakini akajisahau. Mbona mleta mada yeye kaanza na nape kuashiria ndo 1st born wa mzee Nnauye?

angalia hizi picha, unagundua nini?

baba nape.jpg nape.JPG
 
mzee nnauye alikua na nyumba mbili,tangazo limetolewa na nyumba kubwa!
nyumba kubwa bado ina hasira?hata kama yeye ndo katoa tangazo alitakiwa awaorodheshe watoto wote wa marehemu,waislam si rukhusa wake wanne?
 
mzee nnauye alikua na nyumba mbili,tangazo limetolewa na nyumba kubwa!

Hukupaswa kujibu hoja hiyo. BTW, ina maana hizo nyumba zimeshindwa kutoa/kufanya kumbukumbu ya pamoja kwa jambo kama hili, hivi kuna maasiliano kweli hapo?
 
Lilisahaulika wakati taarifa inachapwa. Na miongoni mwa wakwe nimeona January, ni Makamba? Nape anashambuliwa sana hapa kuwa ni balaa tuliloachiwa na baba yake. Lakini ukweli ni kwamba huyu ni miongoni mwa watanzania wachache sana wenye ujasiri wa kusimama mbele ya mafisadi ndani ya chama chake cha mafisadi. Shutuma zote tunazomrushia zingeelekezwa kwa mwenyekiti wa chama chake.

Mzee Makamba na Mzee Nnauye walikuwa na ujamaa unaokaribia undugu hata huyu Nape kuna kipindi aliishi sana nyumbani kwa mzee Makamba pamoja na kina January na Mwamvita, hivyo hawa watoto ni ndugu na wanajuana vizuri japo kwa sasa wanatofautiana kimisimamo juu ya ufisadi na mafisadi.

Mmoja January akionekana kuwaunga mkono mafisadi wakati Nape amekuwa mwiba mkali kwa mafisadi licha ya upinzani wa chini chini dhidi yake toka kwa mwenyekiti wake kama ambavyo imewahi kutokea kwa Julius Malema na JZ JACOB ZUMA Kule kwa kaburu, ambapo mwisho wa yote Zuma baada ya kumtumia Malema amemtupa kama condom iliyotumika! Je, Nape nae atapata "ajali ya kisiasa" kama hiyo toka kwa bingwa wa kutengeneza ajali za dizaini hiyo JK? Ni suala la kusubiri na kuona....
 
Back
Top Bottom