Hii ni sehemu ya Jukwaa maalumu kwa jili ya wananchama wa CCM waliohamia CHADEMA. Kwasasa wanhutubia madiwani, muda mfupi ujao viongozi wa kitaifa watafika viwanjani hapa..
Kamanda Mbowe akiingia viwanjani hapo. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa BAVICHA John Heche
Baadhi ya wananchama wa CCM wakicheza nyimbo za CHADEMA kabla ya hotuba kuanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.