jamesbond007
Member
- Jun 27, 2012
- 36
- 8
‎"Nadhani mnaoangalia mijadala ya Baraza la Wawakilishi mmeona kuwa tuna kazi ya kufanya kwanza ili twende pamoja. Pamoja Daima hadi Jamhuri ya Watu wa Zanzibar yenye kutambuliwa kitaifa na kimataifa isimame na kisha kuwa na Muungano wa Mkataba na Jamhuri ya Tanganyika chini ya misingi ya haki, usawa na kuheshimiana"!
Maneno hayo ni ya Mwakilishi, Ismail Jussa Ladhu. Brilliant Mwakilishi makini" by Khaleed Gwiji!
Yaani masheikh sijafahamu kama masheikh kazi yao imekwisha ama ndio strategies za kuikombowa Zanzibar?
Duuu! ama kweli arobaini zako zikifika huna jinsi you must give up! kwaheri Muungano kwaheri Ukoloni! yaanni kuna bathi ya watu wamediriki pia kusema zenji iko chini ya BACK BOERS!
Maneno hayo ni ya Mwakilishi, Ismail Jussa Ladhu. Brilliant Mwakilishi makini" by Khaleed Gwiji!
Yaani masheikh sijafahamu kama masheikh kazi yao imekwisha ama ndio strategies za kuikombowa Zanzibar?
Duuu! ama kweli arobaini zako zikifika huna jinsi you must give up! kwaheri Muungano kwaheri Ukoloni! yaanni kuna bathi ya watu wamediriki pia kusema zenji iko chini ya BACK BOERS!