Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Wakuu nimesikia mara kwa mara kwamba Wazanzibari wakilalamika kwamba mgao wa 4.5% ya misaada ipatayo Tanzania haijawahi kufikishwa Zanzibar, lakini kumbe mgao huo umeanza kuwasilishwa tangu mwaka 2001!
Source: Kutoka Bungeni Live wakati huu!
My take: Sijajua kwa nini Wazanzibari hulalamika kwa mambo ambayo hawastahili kulalamika! Huku kulalamika inonekana ni profession sasa!
Source: Kutoka Bungeni Live wakati huu!
My take: Sijajua kwa nini Wazanzibari hulalamika kwa mambo ambayo hawastahili kulalamika! Huku kulalamika inonekana ni profession sasa!