Nataka kuiongoza nchi hii kuhakikisha kwamba mambo haya hayatokei. Haya ni maasi kwa Mwenyezi Mungu. Halafu bado tunathubutu kuwateka nyara viongozi wa dini,akina Sheikh Ponda wakati mambo kama haya yanatokea.Sheria za Mweneyzi Mungu lazima zifuatwe. Mwenyezi Mungu ndiye kiongozi wa wanadamu wote na tunapaswa kuzifuata sheria zake ambazo zipo katika Msahafu.
duuuuuuuhhhhhh!!!!!!!!!!!!! asee hiyo hapo ni kazi kweli kweli..! jaribu ku emagine hapo unapita na mwanao utamziba machooo....!!!!? utamgeuzaaa asioneee..!!? au utafanyaje..! hizi tabia hazimomonyoki siku hizi..! zina meguka..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.