figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Wakuu, wale viumbe wanaojiuza sasa hivi wanafanya kazi usiku na mchana. wenyewe wamepanga vyumba kabisa. na wamejiwekea sheria ya kutokugombania wateja, wewe ukifika pale unakuta wamekaa mlangoni na mavazi ya kimtego, kwa hiyo anayekuvutia ndio unaingia chumbani kwake.
Leo nmepita maeneo yale jioni hii, ni kweli wale watoto wazuri asikudanganye mtu.ukimuona huwezi amini ka anajiuza. Kila figure unayotaka ipo ni hela yako tu. hadi nikajiuliza kwanini watoto wazuri wanafanya hii biashara? Mia
Leo nmepita maeneo yale jioni hii, ni kweli wale watoto wazuri asikudanganye mtu.ukimuona huwezi amini ka anajiuza. Kila figure unayotaka ipo ni hela yako tu. hadi nikajiuliza kwanini watoto wazuri wanafanya hii biashara? Mia