babuwaloliondo
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 378
- 174
Last edited by a moderator:
Hakuna ajuaye siku wala saa ya mwisho wa dunia. Siku hiyo itakuja kama mwivi ajavyo (Haya ni maneno ya BWANA YESU mwenyewe). Kwahiyo msidanganywe na hawa maajenti wa shetani.
Babu...
Mtangulie wenyewe kama mnapenda. Wengine bado tuna mengi ya kufanya likiwemo kumkomboa mtz kutoka ulevi wa kijani (ccm). Mission not fullfiled.
Mtangulie wenyewe kama mnapenda. Wengine bado tuna mengi ya kufanya likiwemo kumkomboa mtz kutoka ulevi wa kijani (ccm). Mission not fullfiled.