Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,908
- 95,191
Kweli leo umedhamilia kuyaonyesha hayo magamba nini kilimkimbiza prezdaa jana kukutana na wadhunguuTime unayo sana tena nyinyi ndiyo wale mnaodhani kuzungumza Kingereza ni Usomi, wakati pale London kuna wazaliwa wa pale hawakwenda shule lakini wanaongea Kingereza je? na hao ni Wasomi? Taaluma ni lugha ni vitu viwili tofauti ndiyo maana kuna Wasomi wa kichina, Rusia, Italy, German, Spain, na kwingineko Duniani hawajui Kingereza lakini Taaluma zao zinatumika kuendeleza Nchi zao.