Kumbe Wabunge wengi wa CHADEMA hawana Elimu ya Juu Kabisa!

Apr 27, 2006
26,588
10,375
- Nimeshitushwa sana na ukweli kwamba Viongozi wengi wa Chadema tena wa Taifa, hawana elimu ya kiwango cha Chuo Kikuu chochote Duniani. Inasikitisha sana kwamba hata kufikia leo hawajishugulishi kabisa na kipata elimu hiyo, sasa ujumbe wao kwa wanachama wa Chadema na wananchi wa Tanzania ni nini hasa kwamba leo Mwaka 2013 bado kweli inawezekana kuongozwa na Kiongozi wa Taifa asiye na elimu ya juu?

- Tumewaambia mara nyingi sana kwamba wakati umefika wawaaachie Uongozi wa juu wa Chadema wasomi na vijana kina MWanakijiji, Dr. Kitila na wengine maana haiwezekani leo 21st Century tunategemea kuongozwa kunakotakiwa na Viongozi wa Taifa wasio na elimu ya level ya Chuo Kikuu, haiwezekani jamani. Ushauri wangu wa bure kwa Chadema hawa Viongozi wapumzike warudi shuleni wawaaachie wengine wenye elimu kubwa huko Chadema.

- NI SUAHURI WA BURE TU, NA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!


Le Mutuz The King Of All Network Social Media at Blogu ya Wananchi.
 
Kukaa darasani sio kujua kila kitu na kutokukaa darasani hakumaanishi hujui kila kitu. Hao hao wasiosoma ndio wanaolipeleka puta Liccm lenu. Wewe uliye na elimu umefanya nini?@ Lemutuz
 
- Nimeshitushwa sana na ukweli kwamba Viongozi wengi wa Chadema tena wa Taifa, hawana elimu ya kiwango cha Chuo Kikuu chochote Duniani. Inasikitisha sana kwamba hata kufikia leo hawajishugulishi kabisa na kipata elimu hiyo, sasa ujumbe wao kwa wanachama wa Chadema na wananchi wa Tanzania ni nini hasa kwamba leo Mwaka 2013 bado kweli inawezekana kuongozwa na Kiongozi wa Taifa asiye na elimu ya juu?

- Tumewaambia mara nyingi sana kwamba wakati umefika wawaaachie Uongozi wa juu wa Chadema wasomi na vijana kina MWanakijiji, Dr. Kitila na wengine maana haiwezekani leo 21st Century tunategemea kuongozwa kunakotakiwa na Viongozi wa Taifa wasio na elimu ya level ya Chuo Kikuu, haiwezekani jamani. Ushauri wangu wa bure kwa Chadema hawa Viongozi wapumzike warudi shuleni wawaaachie wengine wenye elimu kubwa huko Chadema.

- NI SUAHURI WA BURE TU, NA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!


Le Mutuz The King Of All Network Social Media at Blogu ya Wananchi.

Usitambe sana na hicho ulichokipata marekani bila babako kuwa kwenye system sidhani kama ungeyasema yote hayo. Elimu waliyonayo viongozi wa juu wa Cdm inawatosha na ndio maana wanachama wengi walio na elimu ya juu kuwapita na wasio na elimu wako nyuma yao. Uongozi sio lazima uwe professor kama Muhungo ndio uongoze. Mbona hicho chama chako kinawasomi kibao lakini mnabaki kulilia kila siku na matamko kibao kuwa hamjui kwanini mtanzania ni maskini. Kuchangia hapa sio lazima hata kama huna la kusema bora ukae kimya sikutegemea mtu ambaye amekaa usa ukaweza kuongea hayo.
 
Unawashauri chadema halafu eeeti kugumu chama cha majambazi duu!
 
- Nimeshitushwa sana na ukweli kwamba Viongozi wengi wa Chadema tena wa Taifa, hawana elimu ya kiwango cha Chuo Kikuu chochote Duniani. Inasikitisha sana kwamba hata kufikia leo hawajishugulishi kabisa na kipata elimu hiyo, sasa ujumbe wao kwa wanachama wa Chadema na wananchi wa Tanzania ni nini hasa kwamba leo Mwaka 2013 bado kweli inawezekana kuongozwa na Kiongozi wa Taifa asiye na elimu ya juu?

- Tumewaambia mara nyingi sana kwamba wakati umefika wawaaachie Uongozi wa juu wa Chadema wasomi na vijana kina MWanakijiji, Dr. Kitila na wengine maana haiwezekani leo 21st Century tunategemea kuongozwa kunakotakiwa na Viongozi wa Taifa wasio na elimu ya level ya Chuo Kikuu, haiwezekani jamani. Ushauri wangu wa bure kwa Chadema hawa Viongozi wapumzike warudi shuleni wawaaachie wengine wenye elimu kubwa huko Chadema.

- NI SUAHURI WA BURE TU, NA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!


Le Mutuz The King Of All Network Social Media at Blogu ya Wananchi.

Kwanini unamshauri adui yako juu ya silaa gani atumie kukutwanga nayo hadi ufe hali na wewe unatamani kushinda hiyo vita, au umehamia CDM siku hizi so unatoa ushauri wa ushindi wa 2015. Si uache tu CDM uendee kuongozwa na hawa uliowataja ili nyie mshinde kirahisi 2015? Kina kuuma nini mkuu?
Kwanini usishauri chama chako kiache uchafu wa rushwa na ufisadi?
Ni hayo tu.
 
kama GT vyema pia ukieleza wabunge wa CCM wasomi kama Chenge(havard),Dr. Mahanga,Prof. Msolla na Kapuya n.k na viongozi wa chama kama Bulembo,Mwigulu(1st grade econ.) wamewafanyia nini wananchi?
 
- Nimeshitushwa sana na ukweli kwamba Viongozi wengi wa Chadema tena wa Taifa, hawana elimu ya kiwango cha Chuo Kikuu chochote Duniani. Inasikitisha sana kwamba hata kufikia leo hawajishugulishi kabisa na kipata elimu hiyo, sasa ujumbe wao kwa wanachama wa Chadema na wananchi wa Tanzania ni nini hasa kwamba leo Mwaka 2013 bado kweli inawezekana kuongozwa na Kiongozi wa Taifa asiye na elimu ya juu?

- Tumewaambia mara nyingi sana kwamba wakati umefika wawaaachie Uongozi wa juu wa Chadema wasomi na vijana kina MWanakijiji, Dr. Kitila na wengine maana haiwezekani leo 21st Century tunategemea kuongozwa kunakotakiwa na Viongozi wa Taifa wasio na elimu ya level ya Chuo Kikuu, haiwezekani jamani. Ushauri wangu wa bure kwa Chadema hawa Viongozi wapumzike warudi shuleni wawaaachie wengine wenye elimu kubwa huko Chadema.

- NI SUAHURI WA BURE TU, NA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!


Le Mutuz The King Of All Network Social Media at Blogu ya Wananchi.

unaijua elimu ya prof maji marefu?
 
Wewe mwenye elimu ya 'chuo kikuu', una kiwango gani cha uelewa? Kama hapo una elimu ya chuo kikuu, basi elimu ya chuo kikuu si chanzo cha maarifa.

No wonder: Nape = Fomu foo Div 4+TTC Butimba High school---> Masters Mzumbe!
 
- Nimeshitushwa sana na ukweli kwamba Viongozi wengi wa Chadema tena wa Taifa, hawana elimu ya kiwango cha Chuo Kikuu chochote Duniani. Inasikitisha sana kwamba hata kufikia leo hawajishugulishi kabisa na kipata elimu hiyo, sasa ujumbe wao kwa wanachama wa Chadema na wananchi wa Tanzania ni nini hasa kwamba leo Mwaka 2013 bado kweli inawezekana kuongozwa na Kiongozi wa Taifa asiye na elimu ya juu?

- Tumewaambia mara nyingi sana kwamba wakati umefika wawaaachie Uongozi wa juu wa Chadema wasomi na vijana kina MWanakijiji, Dr. Kitila na wengine maana haiwezekani leo 21st Century tunategemea kuongozwa kunakotakiwa na Viongozi wa Taifa wasio na elimu ya level ya Chuo Kikuu, haiwezekani jamani. Ushauri wangu wa bure kwa Chadema hawa Viongozi wapumzike warudi shuleni wawaaachie wengine wenye elimu kubwa.
.
Kwani kaka unaelewa nini kuhusu neno ELIMU? Elimu ya mwenyekiti wako ndio inayomwezesha kuongoza? mbona cuf inaongozwa na professor lakin haina cha maana? GROW UP KID!
 
- Nimeshitushwa sana na ukweli kwamba Viongozi wengi wa Chadema tena wa Taifa, hawana elimu ya kiwango cha Chuo Kikuu chochote Duniani. Inasikitisha sana kwamba hata kufikia leo hawajishugulishi kabisa na kipata elimu hiyo, sasa ujumbe wao kwa wanachama wa Chadema na wananchi wa Tanzania ni nini hasa kwamba leo Mwaka 2013 bado kweli inawezekana kuongozwa na Kiongozi wa Taifa asiye na elimu ya juu?

- Tumewaambia mara nyingi sana kwamba wakati umefika wawaaachie Uongozi wa juu wa Chadema wasomi na vijana kina MWanakijiji, Dr. Kitila na wengine maana haiwezekani leo 21st Century tunategemea kuongozwa kunakotakiwa na Viongozi wa Taifa wasio na elimu ya level ya Chuo Kikuu, haiwezekani jamani. Ushauri wangu wa bure kwa Chadema hawa Viongozi wapumzike warudi shuleni wawaaachie wengine wenye elimu kubwa huko Chadema.

- NI SUAHURI WA BURE TU, NA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!


Le Mutuz The King Of All Network Social Media at Blogu ya Wananchi.
Unataka watu wenye CV kama za Idd Amin? Kwamba ni

His Excellency President for Life, Field Marshal Al Hadji Doctor Idi Amin, VC, DSO, MC, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Sea, and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular.
 
kichwa kama tikitimaji!! Ur age is inversely proportional to ur thinking capacity! Hivi wewe unachojivunia ni nini haswa?
 
Mbunge wa CCM aliyemshinda mzee malecela kwenye kura za maoni na sasa ni mbunge wa MTERA kwenye chimbuko lenu ana elimu ya kiwango gani? MIMI SI MUUMINI WA ELIMU YA DARASANI... NA SINA UHAKIKA NA UWEZO WA MTU ALIYESOMA ELIMU KUBWA IWE NDANI AU NJE YA NCHI NA HAKUWAHI KUITUMIA HIYO ELIMU KATIKA FANI ALIYESOMEA.. kwa mfano wengi waliyosoma kwa kuunga unga ulaya na kuendelea kufanya kazi za usaidizi wa nurse na supermarket au udereva wa magari makubwa....
 
Endelea kushukuru ccm inatawala tofauti na hapo...........

Huyo W J anadhani kusoma ndo kuongoza. Uongozi ni kipaji unaweza ukawa na digrii za uzamivu hata 5 lakini ukawa hujui kuongoza na ndo maana hata ndani ya ccm wasomi wengi sio viongozi wazuri.
Na wewe W J M. Elimu yako haieleweki hebu tuwekee humu jamvini shule ulizosoma na hivyi vyuo na matokeo uliyokuwa ukiyapat
 
- Nimeshitushwa sana na ukweli kwamba Viongozi wengi wa Chadema tena wa Taifa, hawana elimu ya kiwango cha Chuo Kikuu chochote Duniani. Inasikitisha sana kwamba hata kufikia leo hawajishugulishi kabisa na kipata elimu hiyo, sasa ujumbe wao kwa wanachama wa Chadema na wananchi wa Tanzania ni nini hasa kwamba leo Mwaka 2013 bado kweli inawezekana kuongozwa na Kiongozi wa Taifa asiye na elimu ya juu?

- Tumewaambia mara nyingi sana kwamba wakati umefika wawaaachie Uongozi wa juu wa Chadema wasomi na vijana kina MWanakijiji, Dr. Kitila na wengine maana haiwezekani leo 21st Century tunategemea kuongozwa kunakotakiwa na Viongozi wa Taifa wasio na elimu ya level ya Chuo Kikuu, haiwezekani jamani. Ushauri wangu wa bure kwa Chadema hawa Viongozi wapumzike warudi shuleni wawaaachie wengine wenye elimu kubwa huko Chadema.

- NI SUAHURI WA BURE TU, NA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!


Le Mutuz The King Of All Network Social Media at Blogu ya Wananchi.
3.jpg
 
Huyu wili zamani nilidhaniaga ni mtu mwenye akili,kumbe ni jinga kabisa. Halafu ukimuona umri wake wa miaka 53 na ushee hauendani na akisemacho. Hivi Nassary si kahitimu 2010 udsm akichukua nadhani sociology(kama nimesahau nikumbusheni). Sasa unapodanganya wadau humu tukueleweje? Kama si kutafutiana ban ni nini?. CHADEMA HAKUNA MBUNGE WA STD SEVEN, wakati ccm ndio wamejazana tele. MFANO MAJIMAFUPI WA KOROGWE V,AIRO WA RORYA,KASU WA NYANG'HWALE,LUSINDE wa Mtela N.K.ulishaambiwakama huna hoja,lete hata za kumsimanga mama yako wa kambo Anne kilango Malecela,wenye akili kama zako utajadili nao. BOYA WEWE!.
 
- Nimeshitushwa sana na ukweli kwamba Viongozi wengi wa Chadema tena wa Taifa, hawana elimu ya kiwango cha Chuo Kikuu chochote Duniani. Inasikitisha sana kwamba hata kufikia leo hawajishugulishi kabisa na kipata elimu hiyo, sasa ujumbe wao kwa wanachama wa Chadema na wananchi wa Tanzania ni nini hasa kwamba leo Mwaka 2013 bado kweli inawezekana kuongozwa na Kiongozi wa Taifa asiye na elimu ya juu?

- Tumewaambia mara nyingi sana kwamba wakati umefika wawaaachie Uongozi wa juu wa Chadema wasomi na vijana kina MWanakijiji, Dr. Kitila na wengine maana haiwezekani leo 21st Century tunategemea kuongozwa kunakotakiwa na Viongozi wa Taifa wasio na elimu ya level ya Chuo Kikuu, haiwezekani jamani. Ushauri wangu wa bure kwa Chadema hawa Viongozi wapumzike warudi shuleni wawaaachie wengine wenye elimu kubwa huko Chadema.

- NI SUAHURI WA BURE TU, NA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!


Le Mutuz The King Of All Network Social Media at Blogu ya Wananchi.

Mkuu kwanza mimi sikufahamu ila nakusikia kwa visit Card ya jina Malecela. Lkn kutokana na historia ninaamini kabisa mzee Malecela kwa wakati wake hata na wakati huu ni figure kwa taifa letu. Lakini nikifuatilia comments zako ninshindwa kupata jibu kama kweli wewe ni jamii au jamaa ya Melecela's clan! Ni bahati mbaya imebidi niseme hivi kwani wewe unaonekana ni mtu wa ajabu sana na bahati mbaya sijui wewe una umri gani kwani ingenisaidia kujua ni kitu gani labda bado unapungukiwa!! He, wewe uko ktk kuongelea kusoma sijui degree gani nk! Hivi vitu vitakusaidia nini if with all degress but still you cannot deliver something that can assist our people and the Country itself to move forward. Unataka kila mtu akueleze ana elimu gani na what he/she has achieved sofar? Na siyo hayo maachievements ya kughushi hapo Bongo hapana. Tunafanya kazi na wale watu unaowatetemekea kila wakati wanapokuja hapa kusaini mikataba yenu ya kipumbavu. Tunaongea nao wanatuuliza na tunawaambia wafanye nini kwa sababu elimu yetu ni ya vitendo na wala siyo kama wewe ulivyo na mawazo ya kijinga!
 
- Nimeshitushwa sana na ukweli kwamba Viongozi wengi wa Chadema tena wa Taifa, hawana elimu ya kiwango cha Chuo Kikuu chochote Duniani. Inasikitisha sana kwamba hata kufikia leo hawajishugulishi kabisa na kipata elimu hiyo, sasa ujumbe wao kwa wanachama wa Chadema na wananchi wa Tanzania ni nini hasa kwamba leo Mwaka 2013 bado kweli inawezekana kuongozwa na Kiongozi wa Taifa asiye na elimu ya juu?

- Tumewaambia mara nyingi sana kwamba wakati umefika wawaaachie Uongozi wa juu wa Chadema wasomi na vijana kina MWanakijiji, Dr. Kitila na wengine maana haiwezekani leo 21st Century tunategemea kuongozwa kunakotakiwa na Viongozi wa Taifa wasio na elimu ya level ya Chuo Kikuu, haiwezekani jamani. Ushauri wangu wa bure kwa Chadema hawa Viongozi wapumzike warudi shuleni wawaaachie wengine wenye elimu kubwa huko Chadema.

- NI SUAHURI WA BURE TU, NA KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!


Le Mutuz The King Of All Network Social Media at Blogu ya Wananchi.

Naunga mkono hoja, sasa ni wakati muhafaka wa chama chetu cha mapinduzi kuongozwa na maprofesa na siyo wajanja wajanja kama kina Kikwete wenye PGA ya kusikitisha.

Tuanze na mgombea urais wetu wa Ccm Mwaka 2015 tunamtaka Profesa level, kwa sababu tuna rundo la maprofesa tunaweza kumsimamisha Profesa Kapuya kuwa mgombea wetu wa CCM.
 
Back
Top Bottom