Hehehe! Kumbe mkweo ndio bingwa wa kuchunae? Sasa twampitia wifi au kila mtu apite njia yake tukutane kule mahali?
Vijana karibu wote wanakula ugoro, wanaupenda balaa, wamesababisha upande bei mpaka wazee kama ODM wanashindwa kumudu kununua! Maisha ghali mke mwenza, ajira hakuna! Vijana akili na maarifa yote yameishia kunywa/kuvuta ugoro...lol, waonaje ukiacha kuuza bange badala yake uuze ugoro? Ni ushauri tu mke mwenza!
Simama hapo hapo, nishakuona namtuma muhudumu aje akuonyeshe tulipokaa, duuuh, umependeza sana mke mwenza mpaka nakuonea wivu lol....Mbona nipo eneo la tukio siwaoni? Usikute umevaa sare za ccm, leo ni red hadi naniliu!
Huo ushauri wa kimassawee nimeukubali. Ila ugoro ni halal? Manake nimechoka kukimbizana na polisi na uzee unakaribia atii. ODM usimuhofie, anahongwa ugoro yule,lol
wengi mno
sigara bei kubwa sana.
Kwani ajabu?