Kumbe udini ndio ulitumika kumdhuru Lowassa kisiasa?

Mbona mnalalamika sana na MoU hii? kama nongwa si mjenge na ninyi hospitali zenu muone kama serikali haitawapa ruzuku. Bugando, KCMC n.k kwani zinatibu wakristo pekee? acheni kuwa na mawazo mgando kiasi hicho. Mbona hamshukuru kwa mkapa kuwapa majengo mali ya tanesco kuwa chuo kikuu cha kiislamu??
Sio haki kuhamisha thread ya mtu na kuipeleka sehemu asiyokuwa na access nayo. Nimeonelea nichukue kifungu hiki cha maneno tujikumbushe na tutafari kuwa kama hii lililozungumzwa ni sahihi bali kuna fact yake iliyosababisha hilo. Fact yenyewe ni udini wa EL kwa kuwekeana mkataba wa siri na makanisa ingawa JK kashindwa na kaachia. sasa endelea....
Kuna tetesi Zimeenea mtaani kuwa baada ya JK kuingia madarakani aligomea ruzuku iliyokuwa ikitolewa na Serikali kuendesha makanisa pamoja na taasisi zinazoendeshwa na makanisa katoliki nchini kama shule, hospitali na vyuo. "The Government shall provide financial assistance to Church institutions and shall seek financial assistance to Church run social services in its bilateral negotiations with foreign governments"

source
:The Memorandum of Understanding between the Government of the United Republic of Tanzania and the Tanzania Episcopal Council (TEC) and the Christian Council of Tanzania-page 3 (attached herewith)

Nasikia JK aliwaambia kuwa nchi hii haina dini na itakuwa ubaguzi kuwapa ruzuku watu wa dini moja na kuwaacha wa dini nyinginezo akatolea mfano kuna waislam, wabudda, masingasinga, wahindu na wasiokuwa na dini je hao hawana haki ya kupewa ruzuku? na serikali ikitoa ruzuku kwa hawa wote itawezaje kujiendesha? Basi bora mkose wote. Hapo naona JK aliona mbali sana ila hakujua kama anajiharibia yeye na chama chake.
 
Mkuu Waberoya Thanks kubwa! hasa kwenye bold. Kwa wale mnaojua kutafuta speech za Nyerere mwawezaileta hapa ile ambayo amekiri kufanyiwa ibada ya Tambiko la damu na Mashehe Bagamoyo, ingawa hakueleza kwa nini Bagamoyo na kwa nini damu katika hotuba hiyo. Tuendako hapafurahishi hata kidogo

Mkuu kuna watu wanataka kutuaminisha kuwa hakuna udini Tanzania! Yes udini haupo kwa watu wa kawaida, haupo kwa waelewa, ila kwa kutumia status hii, na hal ya watanzania , KUNA watu wanakesha usiku na mchana wakijipanga waipeleka hii nchi kivyao!

hawa watu wapo, majina yapo, na dini hii ipo, tunapotoa alert wengine huwa wanaona kama vile tunacheza humu. Kibaya zaidi wale wenye milengo yao wameeenda mbali zaidi sana, mpaka kuingia ngome za wanaopigana nao na kuchukua watu wao.

tusipowekana sawa kuna watu watakuwa watumwa humu humu ndani ya nchi, kuna watu wataonekana ndio wanapaswa kuchukua vyeo na wengine hawapaswi, kuna watu wataonekana wao ni bora zaidi. mabadiliko ya katiba na ni dhahiri njia ngumu na ya lazima kuleta taifa bora.

Si kitu cha ajabu kusikia hata hiyo katiba ina zengwe la dini.

huwa nalilia mfumo, tukilili kuunda mifumo tutaliokoa hili taifa na sio kinachoendelea sasa hivi, if someone thinks we are a nation we may be cheating ourselves...lets build a nation we are not there yet; not with this Kikwete regime, not with CCM, not with this constitution, not with this what what??
 
Ebu ondoa upuuzi wako hapa
Mkuu heshima sana tu
Labda si busara kwa watu makini kuita michango ya watu upuuzi kwa sababu mwandishi ameweka muda na mawazo yake kwenye comp. hata yale maoni tusiyoyapenda bado ni maoni na tuna jukumu la kujenga tabia ya kuvumiliana na kuwetoa maoni yetu. Anyway nchi yetu ina hali ngumu kimfumo hili sio siri na ndiyo maana kila kona watu wanakula rushwa kila kona kwa sababu ya ubovu wa mfumo na hata ukiangalai zawadi za vyeo kila kukicha zinaongezeka kwa sababu ya mfumo Rais anateuwa wakuu wa mikoa, wilaya, wakurugenzi makatibu wakuu mabalozi nk. Jamani suala la mfumo sio la kuuuza
 
Hakuna kitu hapa! mwandishi amepapasa tu hili swala, kuna nyeti tukiziandika humu ndani hapakaliki na hakitaeleweka, we have every proof kudhihirisha uchafy wote from A to Z,

Personally, nimekuwa nikitoa alert nyingi sana za kidini upande wa chadema, kwa sababu najua mengi upande wa ambao wamejipanga zaidi. Kikubwa tumeonekana wenye chuki kwa slaa na chadema na kutukanwa.

Narudia kama post hii imekutisha, basi hapa hakuna kitu kilichoelezwa! The mission is thrilling


At a glance, though najua nafuatiliwa sana na wenye nchi.

Kikwete yuko kwenye mtandao ule.. na alianzia tangu akiwa mlimani! Mwinyi ameingizwa juzijuzi tu , ila sasa ni wamoja...''let african ruled by muslims'' kiongozi wao anachakazwa na mabomu huko libya!

I repeat the situation is thrilling , kama kuna vitu vya ushabiki ili acheni jamani, BUSARA TU NA TACTICS ZITAOKOA SITUATION.

wakati mnalaumu Kikwete usaliti mkubwa wa Nyerere NA busara kubwa ya Nyerere kule Bagamoyo ndio uliosababisha haya yote, they wanted to use Nyerere na waliingia naye mikataba ( ya damu Bagamoyo I know the place) kuwa nchi iwe ya kiislamu, baada ya uhuru Nyerere hakutimiza hilo swala lao.......thats where things started

, je unataka kusikiliza huu mwanzo wa hili bifu...je unataka kusikiliza mwanzo wa hili bifu...je unataka kusikiliza mwanzo wa hili bifu (Masanja TBC)

kwa sasa rudia post za waberoya hili chadema ishike nchi, this is my mission we are tired of CCM! lest build a new nation, soma kwa makini na urudi kwenye hii maada, angalia chadema watateka vipi hizi mission.

HiLO TU!

Sorry japo kuna udini hapa, siko kumtetea Lowassa, Lowassa is just a gang ! lets not defend him by his religion PLEASE!!

Kama nawe unasubscribe katika huu upumbavu (sio ujinga) then we are in a deep shit.....

Hii ni kazi ya mwandishi mmoja mtendaji wa gazeti fulani lenye mlengo wa chama fulani. Ni miaka mingi sana nilikuwa nakataa kukubali kuwa yupo katika haya madudu lakini thank God kiwewe cha kikao cha Kamati ya Maadili wiki hii imeweza kumtoa nyoka pangoni na kumjua na kukubali wasemayo wenye busara zao. Tatizo ni kuwa wametumia SILAHA ZA MAANGAMIZI mwanzoni wa vita....kosa kubwa

Hata hivyo ni wazi kuwa ndugu yangu huyu anaua ndege wawili kwa jiwe moja......anajifanya anarudisha mashambulizi kwa niaba wa bosi wake mmoja huku akineemesha mradi wa kisiasa wa Bosi wake mwengine ambao umeonyesha kushamiri hivi karibuni ingawa matunda yake yanaelekea kuliwa na wengine aliodhani watakuwa ngazi tu ya ndoto yake ya ukubwani.


Nakubaliana na Waberoya kuwa udini upo tena kwa pande zote mbili za dini zetu kuu. Hata hivyo ni upumbavu na sio ujinga kuamini kuwa kuna dini moja inayotaka Tanzania kuwa taifa la kidini. Hiyo ni mitizamo ya wachache sana ambao ukweli kama hawapo. Walio wengi nikuwa ama hawaamini nia njema ya wenzao wa diini nyingine ama katika miaka ya karibuni wapo walioanza kujenga hisia za chuki miongoni mwao. Kinachoendela katika nchi yetu ni kama makala hii ya ndugu yangu wa makala hiyo hapo juu, wapo wengi wenye tamaa za kutupwa zilizokosa mipaka ambao wapo tayari kutumia hisia za kibaguzi iwe dini ama kabila (walianza na rangi) kufanikisha miradi yao kisiasa. Hatari iliyopo ni kuwa hawa sasa wanatoka katika stage ya tamaa wanaelekea katika uoga wa kutupwa....wamepanick na hivyo ni hatari zaidi klwa taifa na kwao wao wenyewe....they are suicidal, wameanza kujilipua......

Naangalia uwezekano wa mimi kama raia kufungua kesi binafsi kwa gazeti la RAIA MWEMA kwa kuchapisha nakala kama hii. Why RAIA MWEMA? = Kwa sababu nalithamini na inauma sana kama nao wamekubali kutumika namna hii. Lakini pia wawe mfano kwa wengine watakaothubutu haya huko tuendako......

Wenye kuguswa kwa dhati na hili tuwasiliane....
 
Hii makala imeenda mbali sana na kutoa madai mengi sana mazito; ni madai mazito ambayo hayapaswi kuachwa bila kujibiwa. Ni madai ambayo yametolewa kuhusu watu mbalimbali yakidai ukweli. Sijui kama mwandishi ana majibu yenye kuweza kutosheleza na kutetea madai yake. I

la kuna kitu hapa nadhani kinafikiicha kwa chini. Tunapozungumzia udini hauko kwa wanancdhi wa kawaida - at least not the majority of our people. Ni udini wa baadhi ya viongozi na watawala ambao wanautumia ili aidha kubakia madarakani au kuja kuingia madarakani.
 
Ingawa kwa akili ya kawaida ni vigumu kuamini kila lililosemwa kuhusu raisi Kikwete ninaamini "Lisemwalo Lipo na kama halipo laja". Na iwapo kutatokea kama "inavyosadikika" Natabiri (Sheikh Yahaya Hayupo) CCM itashindwa vibaya katika uchaguzi na IKICHAKACHUA tutakua kama wenzetu Kenya na Sehemu zingine ambazo Raisi Kikwete amekua akienda kusuluhisha. Naomba utabiri wangu usitimie. Mungu Ibariki Tanzania.
 
huyu ndiye mwandishi wa kwanza jasiri tanzania.mengi aliyoyasema yana ukweli.wekeni hii article for references.uchaguzi wa kikwete ktk kipindi chake cha pili alitumia zaidi nguvu na ushawishi wa dini yake.kampeni zilikua msikiti kwa msikiti.pamoja na matamko kwa waislamu wasichague kafrii.pia watu wa dini yake ktk usalama wa taifa na tume ya uchaguzi wa ICT ndo walicheza deal ya kuchakachukua.tanzania sii salama tena.udini upo kwa kasi kubwa, kiongozi wake mkuu ni jk.
 
Unfortunately we have mr president who is too loyal to his religious feelings rather than loyalty to his country. The fact is when it comes to politics africans mindset do not go beyond their tribes and religions, that is why its hard to find patriots but rebels in Africa.
 
Hii makala siyo ya kuipuuza kabisa.Haiwezekani yote yaliyoandikwa yakawa ni uongo.Inawezekana mwandishi katia 'chumvi' ya hapa na pale,lakini kusema kuwa hii makala yote ni uongo aisee ni kujidanganya au kutaka kuficha ukweli fulani kwa maslahi binafsi
 
Kama nawe unasubscribe katika huu upumbavu (sio ujinga) then we are in a deep shit.....

Hii ni kazi ya mwandishi mmoja mtendaji wa gazeti fulani lenye mlengo wa chama fulani. Ni miaka mingi sana nilikuwa nakataa kukubali kuwa yupo katika haya madudu lakini thank God kiwewe cha kikao cha Kamati ya Maadili wiki hii imeweza kumtoa nyoka pangoni na kumjua na kukubali wasemayo wenye busara zao. Tatizo ni kuwa wametumia SILAHA ZA MAANGAMIZI mwanzoni wa vita....kosa kubwa

Hata hivyo ni wazi kuwa ndugu yangu huyu anaua ndege wawili kwa jiwe moja......anajifanya anarudisha mashambulizi kwa niaba wa bosi wake mmoja huku akineemesha mradi wa kisiasa wa Bosi wake mwengine ambao umeonyesha kushamiri hivi karibuni ingawa matunda yake yanaelekea kuliwa na wengine aliodhani watakuwa ngazi tu ya ndoto yake ya ukubwani.


Nakubaliana na Waberoya kuwa udini upo tena kwa pande zote mbili za dini zetu kuu. Hata hivyo ni upumbavu na sio ujinga kuamini kuwa kuna dini moja inayotaka Tanzania kuwa taifa la kidini. Hiyo ni mitizamo ya wachache sana ambao ukweli kama hawapo. Walio wengi nikuwa ama hawaamini nia njema ya wenzao wa diini nyingine ama katika miaka ya karibuni wapo walioanza kujenga hisia za chuki miongoni mwao. Kinachoendela katika nchi yetu ni kama makala hii ya ndugu yangu wa makala hiyo hapo juu, wapo wengi wenye tamaa za kutupwa zilizokosa mipaka ambao wapo tayari kutumia hisia za kibaguzi iwe dini ama kabila (walianza na rangi) kufanikisha miradi yao kisiasa. Hatari iliyopo ni kuwa hawa sasa wanatoka katika stage ya tamaa wanaelekea katika uoga wa kutupwa....wamepanick na hivyo ni hatari zaidi klwa taifa na kwao wao wenyewe....they are suicidal, wameanza kujilipua......

Naangalia uwezekano wa mimi kama raia kufungua kesi binafsi kwa gazeti la RAIA MWEMA kwa kuchapisha nakala kama hii. Why RAIA MWEMA? = Kwa sababu nalithamini na inauma sana kama nao wamekubali kutumika namna hii. Lakini pia wawe mfano kwa wengine watakaothubutu haya huko tuendako......

Wenye kuguswa kwa dhati na hili tuwasiliane....


Mkuu Ommy respect!

Siku zote napenda ukweli hata kama unaniumiza, nimejifunza hilo na ninaona ni ulinzi tosha , sipati aibu kwa kusimami ukweli.

Nakufahamu Ommy vizuri sana, misimamo yako na ninajua wewe ni mtu wa aina gani..wewe ni radical poltically, for me I thinkI am radical in both politics and my religions!

Kuna level ya watu wa aina yako ambao huwa wanawaza wote wako kama walivyo, kwa sababu wewe si mdini, basi una assume kuwa wote wako kama wewe, ni vizuri uko kwenye kundi kubwa la watanzania ambo wako hivyo hawana udini.

Nakumbuka miaka ile ambayo kwa mimi mkristo kushiriki sikukuu za kiislamu ilikuwa normal and encouragable hata leo hii bado jamii kubwa ya kitanzania inaishi kwa upendo mkubwa, it is realy proud to be Tanzanian....proud of that

Lakini katika hali hii, mazingira haya na historia hii na nyakati hizi watu wanatumia mitaji ya dini kwa faida zao zaidi kuliko kuwatumikia watu zaidi.we have 'dark religious societies' ambao wanakesha usiku na mchana kueneza udini.

Hold on, I am co-pastor, I know church politics, I know little about government politics believe me. Ninapoeleza naeleza nikiwa nina hakika na ninachokijua, maana nyakati kadhaa watu wa makundi haya wamekuwa wakitafuta masterminder, master plan.

Kibaya kinachotisha sio kuwa lengo hasa ni UDINI no, lengo ni kuchukua madaraka kupitia udini, is just like Osama to use muslims to approve his killings.

Kwa kutaka faida au uongozi ili walinde uchafu wao kuna makundi yana overlap kwenda mpaka upande wa dini zingine , mifano ninayo, Ninaweza kukuorodheshea misikiti na makanisa ambayo yapo pande tofauti na dini zao.

Mkuu Ommy, unapoeleza swala la mwandishi huyu au yule kuelezea udini na kutaka kusema utawashtaki Raia mwema, aliyeweka wazi swala la udini ni Kikwete, Kikwete angekuwa na busara tosha asingesema wazi hata kama tatizo lilikuwepo. Kumbuka hata Mkapa alisema wazi hili swala pale jangwani, kuwa asichaguliwe mtu kwa sababu ya udini, do you think Mkapa was just saying ??

Nani asiyejua kuwa kuna makanisa yalipiga kampeni kuwa Slaa ashike nchi? nani asiyejua kuwa kuna msikiti ilipiga kampeni Kikwete ashinde? can we ignore these facts and pretetend that it deos not exist? can't we say openly just because if we say then that agenda is shit!

Kuna watu mnajua siasa ila hamuijui nchi hii ilivyo, one day nikaleta post humu ya risk assessment, kuwa background ya Slaa ilikuwa na walakini katika nyakati zile if and only if ( kama proper assignment ya kujua haya mambo ingefanyika) jamani people do feasibility study before investiment, people do marjet survey too! is it not applicable to politics! , chadema haikujulikana kama chama cha wakristo mpaka Slaa alipochukua kushindani uongozi wa nchi, na hata kama mgombea wa chadema angekuwa mkristo ambaye hakuwa na background ya kanisa wala usingesikia hayo tuache hili maana nitatukanwa muda si mrefu! sina lengo baya, ila siasa zetu zimekuwa too cheap kiasi ambacho hatutaki kuona behind the stage.

wakati Slaa ajenda yake ni kusika nchi , kama yeye , kwa uwezo wake bila kanisa nyuma,lakini wapo ambao msukumo wao wa Slaa ulikuwa wa kidini zaidi! same appliees kama CUF ilivyochukuliwa. Na nguvu kubwa ya hili wimbi lilitokea kwani katika awamu ya kwanza Kikwete alionyesha dhahiri upendeleo usio wa kawaida wa kuwapa waislamu nafasi nyingi kubwa serikalini. Vikao kadhaa vya maaskofu vikakaa na wengine walimuonya wazi wazi kuwa anaharibu nchi-japo hakusikia. Slaa alipojitokeza wakaona kama mkombozi wao, japo yeye slaa maskini hakuwa na habari za kidini, ..think here

Mkuu Ommy, najua itakuwa ngumu sana kuamini ila Kikwete amelelewa na waislamu wasio kama wewe, wale wenye kutaka kusilimisha nchi za africa, kundi hili la mafia hawa wa kiroho lipo linaishi na Kikwete ametokea huko tangu akiwa chuo kikuu cha DSM, hata usalama wa taifa wanajua hilo, walilijua hilo na mwalimu alijua hilo alimbeba akijua Kikwete atakuja kumuelewa Nyerere, lakini pia ni kuleta matumaini kwa waliomtuma kuwa atafanikisha lengo.

Kikwete ameshindwa kujizuia amesema wazi kabisa swala la udini, lile ambalo kwa nafasi yake alipaswa kulikemea au kuliua , kibaya zaidi amesema baada ya uchaguzi! lengo ni nini? sitetei wakatoliki, lakini mafia wale wa kikatoliki kwa uchunguzi hawajahusika sana uchaguzi wa Tanzania, tofauti na mafia wa upande wa pili. Mlipuko wa kidini zaidi kipindi cha uchaguzi ulikuwa kwa wachungaji kadhaa na mmoja mmoja lakini haukuwa organized as a church! Hofu yangu ni siku moja wakristo wakiamua waunde hizo secret organisation za kuchukua nchi, kama ambavyo waislamu wachache ambao hawajulikani na waislamu wengine wanavyofanya!! hii ipo mkuu the fact kuwa haujui haina maana kuwa haipo. I hate those excactly as I do to christian who have same motives! sisi tuliozaliwa na wazazi wa dini mbili mnataka tuende wapi??

Mkuu Ommy, sijakubaliana kitu kimoja na mwandishi kumtetea Lowassa eti kwa ajili ya udini that is not true! and will never be true! zile ni siasa na akina Mwakyembe na Sita wamefanya rightly walichopanga siku nyingi, akina 6 na mwakyembe sio waislamu ebo!

Lastly, we can end this here, but our political parties they have a role to play in minimising these negative impacts as mucha as they could. I once said 'cheap politics' they have to have critical thinking and analysis in anything that concerning a nation. wawe wa kisasa na intelijinsia zifanye kazi na waweke hivi vitengo. wengine habari tunaletewa kwa sababu ya misimamo yetu na nafasi zetu tu na sio vinginevyo.

Nchi hii inalindwa kwa jasho kubwa sana,

My motive here ni kuwa any secret moves za makundi fulani kutawala nchi hii-KIjanja janja na kihuni- HAITAKIWI and we will expose them surely, I will; who says I can not?

wale wanaolitumia vibaya jina langu endeleeni tu, The heaven is my witness.

BTW Ommy unatakiwa sasa kufikiria kuingia kwenye 'nyongozi' uongozi wa kiserikali we need you at the top levels!

Sorry Ommy anything more send me PM, will never come here again dont ask why?
 
Mh rais hali si shwari
kila kukicha licha ya ugumu wa maisha kuongezeka na kuonekana kana kwamba ni kitu cha kawaida kwa watanzania walio wengi.
Sasa miongoni mwa watanzania wengi kila kukicha wanazungumzia kuibuka kwa vitendo vya kubaguana na kutengana kutokana na itikadi zetu za kidini, waasisi wa taifa hili wote kwa pamoja licha ya kuwa na imani tofauti lakini haikuwahi kusikika kati yao kuna anayependelea dini flan.
Ukiamua unaweza kumaliza hili neno na hali ikawa shwari kabisa.
 
Unfortunately we have mr president who is too loyal to his religious feelings rather than loyalty to his country. The fact is when it comes to politics africans mindset do not go beyond their tribes and religions, that is why its hard to find patriots but rebels in Africa.

You are very right and Briliant
 
Rais alilianzisha yote haya ili kuweka kivuli kuzuia kuakisi ombwe ya kiuongozi.
Bila ya utafiti alidhani kuwa wananchi wanahoji kwa kuwa yeye ni muislamu. Alikuwa akitafuta sympathy kwa kutumia mgongo wa dini. Angetafakari kidogo, angeelewa ya kuwa mara zote "moto uunguzao nyika huanza kama cheche" kamwe asingelithubutu kutumia gia hiyo kuwagawa Watanzania.
It is not too late, atuombe samahani kiungwana, aanze kuchukua hatua kurekebisha aliyo-yaanzasha. Atupelekapo sipo.
 
Rais alilianzisha yote haya ili kuweka kivuli kuzuia kuakisi ombwe ya kiuongozi.
Bila ya utafiti alidhani kuwa wananchi wanahoji kwa kuwa yeye ni muislamu. Alikuwa akitafuta sympathy kwa kutumia mgongo wa dini. Angetafakari kidogo, angeelewa ya kuwa mara zote "moto uunguzao nyika huanza kama cheche" kamwe asingelithubutu kutumia gia hiyo kuwagawa Watanzania.
It is not too late, atuombe samahani kiungwana, aanze kuchukua hatua kurekebisha aliyo-yaanzasha. Atupelekapo sipo.

Udini ulikuwepo siku nyingi hapa nchini kwetu baada ya kuasisiwa na mchonga na kuvaliwa njuga na Mkapa. Kosa alilofanya JK badala ya kukaa kimya kama mwenzie Minyi...kiherehere chake ndio kilichomfikisha hapo. Maana alitamka dhahiri kuwa nchi hii kuna udini mkubwa kabisaa huku akirejea matukio ya uchaguzi na upigaji kura wa uchaguzi wa 2010.

Sasa kazi anayo maana wahashamu, wainjilisti,makasisi ma ma baba askofu wameshikwa pabaya...wanajaribu kufanya kila hila..kisiasa (ili aonekane nchi imemshinda), ki hila (ku-saboteji) juhudi zake za maendeleo na kimtafaruku na migomo (wakitumia wanafunzi wa vyuo vikuu na wafanyakazi).

Nadhani ni bora ajiandae..maana hawa jamaa wamejipanga..plans zoote hizi zikishindwa kuna kubwa zaidi wameliandaa bila shaka.

Kikwebo.
 
Soma vizuri, imeandikwa na Mwandishi Maalum, na sio necessarily mwandishi wa RaiaMwema, anayelipwa na RaiaMwema... upo hapo?
?????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
Udini ulikuwepo siku nyingi hapa nchini kwetu baada ya kuasisiwa na mchonga na kuvaliwa njuga na Mkapa. Kosa alilofanya JK badala ya kukaa kimya kama mwenzie Minyi...kiherehere chake ndio kilichomfikisha hapo. Maana alitamka dhahiri kuwa nchi hii kuna udini mkubwa kabisaa huku akirejea matukio ya uchaguzi na upigaji kura wa uchaguzi wa 2010.

Sasa kazi anayo maana wahashamu, wainjilisti,makasisi ma ma baba askofu wameshikwa pabaya...wanajaribu kufanya kila hila..kisiasa (ili aonekane nchi imemshinda), ki hila (ku-saboteji) juhudi zake za maendeleo na kimtafaruku na migomo (wakitumia wanafunzi wa vyuo vikuu na wafanyakazi).

Nadhani ni bora ajiandae..maana hawa jamaa wamejipanga..plans zoote hizi zikishindwa kuna kubwa zaidi wameliandaa bila shaka.

Kikwebo.

Kubadilisha CCM kuwa BAKWATA ni kosa kubwa sana lisilosamehekana kwa watanzania.
 
Udini ulikuwepo siku nyingi hapa nchini kwetu baada ya kuasisiwa na mchonga na kuvaliwa njuga na Mkapa. Kosa alilofanya JK badala ya kukaa kimya kama mwenzie Minyi...kiherehere chake ndio kilichomfikisha hapo. Maana alitamka dhahiri kuwa nchi hii kuna udini mkubwa kabisaa huku akirejea matukio ya uchaguzi na upigaji kura wa uchaguzi wa 2010.

Sasa kazi anayo maana wahashamu, wainjilisti,makasisi ma ma baba askofu wameshikwa pabaya...wanajaribu kufanya kila hila..kisiasa (ili aonekane nchi imemshinda), ki hila (ku-saboteji) juhudi zake za maendeleo na kimtafaruku na migomo (wakitumia wanafunzi wa vyuo vikuu na wafanyakazi).

Nadhani ni bora ajiandae..maana hawa jamaa wamejipanga..plans zoote hizi zikishindwa kuna kubwa zaidi wameliandaa bila shaka.

Kikwebo.

Mkuu Kikwebo,

Una uhakika na uliyoyaandika? Naogopa kuamini kama wewe sio mmoja wao!!!!!

Tiba.
 
Back
Top Bottom