kumbe taxi bubu..

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,884
hivi utamjuaje mwanamke ambaye umeanzisha nae mahusiano kuwa
ni taxi bubu?i mean ni prostitute wa siri? sasa hizi tips za kujua
1.weekend yuko bize.
mwanamke akiwa ni taxi bubu,mara zote utakuwa huonani nae siku za weekend jioni,atakupa sababu tele,mara kichen pati,mara msiba kwa shangazi n,k.
2.yuko free sana jumatatu na jumanne
siku za jumatatu na jumanne ndio siku ambazo sio za biashara kabisa
kwa hiyo atakuwa free sana,utasdhangaa hakuna msiba wala kikao cha harusi,but ikianza jumatano mpaka jumapili she is busy.
3.ana taxi zake maalum
biashara ya ukahaba,wadau wake wakuu ni madereva taxi,huwa wanawapunguzia bei ma cd,na utaona kila kahaba ana taxi zake maalum,zinazomfata popote saa yeyote.
4.begi lake liko full vifaaa.
ni kweli wanawake wote hubeba mabegi na hutia vitu vingi ndani ya hayo mabegi,but makahaba mabegi yao huwa yanazidi urembo,na hayakosi nguo za kubadilisha,hii inawasaidia popote alipo anaweza kuanza safari bila kurudi home.
5.anakutafuta usiku wa manane au alfajiri.
siku biashara ikichacha utashangaa mtu kakuibukia mda mbaya ukimuuliza
ulikuwa wapi atakupa owongo uliopangiliwa,mara harusi ilichelewa kuisha
au katoroka msibani....au uwongo wowote mtamu.na tabia ya kukupigia simu usiku wa manane pia.
6.anafahamiana na ma cd wengi
ukimuuliza hao unafahamiana vipi,atakwambia nilisoma nao.au niliwahi kukaa nao mtaa mmoja au ndugu yake shemeji n.k
7.kinondoni factor.
kwa DAR kinondoni ni kama centre ya ma cd,so ukiona gf wako anaishi kinondoni au haishi huko but anakwambia ana rafiki au shangazi au ndugu huko na huwa anakwenda na kulala huko,watch out.
8.hubadili simu mara kwa mara
kwa kawaida ma cd huwa wanawaibia wateja vitu hasa simu,na huuziana wenyewe kwa wenyewe,simu kwao huwa kama asset hivi,ili mtu akiishiwa aiuze apate pesa,
9.husafiri sana hasa weekends
wapo watu huchukua ma cd na kwenda kustarehe nao z,bar au arusha au popote kule mbali na dar,pia ma cd huenda wenyewe hasa wanapojua
kuna wageni eneo fulani labda kuna meli za mabaharia mombasa,
10.unapokuwa nae out kuna tofauti
mara nyingi kama mwanamke ni cd au taxi bubu,watu kama madereva taxi
au ma bar maid na wahudumu wa guest na hoteli huwa wanawajua,utaweza gundua kuna tofauti ya treatment,as if wanamuonyesha dharau fulani ya kichichini.hawam heshimu kama mwanamke mwingne.
11.ana namba nyingi za simu.
hili linaeleweka nadhani
12.hapendi kutembea mchana
hili nalo linaeleweka nadhani.
13.anajuana na wanamuziki wengi
hii huwasaidia kuingia bure kwenye maonesho makubwa ya bendi mbalimbali.
14.hujistukia
utaona kwenye mazungumzo yake akiwaponda ma cd au kuwa wa kwanza
kukueleza kuhusu rafiki yake ambaye ni cd ili kujilinda.au hupenda kusema
"usifikiri mi changudoa"hata kama mazungumzo hayahusu.
15.anajua ratiba ya weekend ya kumbi zote
hili nalo linaeleweka nadhani...
16.dodoma
kila kikifika kipindi cha bunge karibu ma cd wote wa tz wanaenda dodoma
so utagundua katika story zake aliwahi kwenda dodoma katika kipindi cha
bunge,wakati pengine hana kazi inayohusiana na bunge.utasikia alimsindikiza shosti wake hivi au vile.
17.hana wivu sana.
hawana sana tabia za wivu wala kutazama simu yako.
18.huongopa kuhusu kazi au masomo
atasema aliwahi fanya kazi hotelini au anasomea kozi fulani,wengine kweli ni wanafunzi wa vyuo mbalimbali.
19.hawapendi kulambwa bure
hii ndhani inaeleweka,kwa kuwa hawezi kukuambia ni biashara,atakuwa kila mara anakutajia shida ya pesa kabla hujam nanihii,utajikuta kila ukim nanihii unampa pesa bila kujua.
20.wazazi.
mara nyingi ma cd huwa na watu ambao mara nyingi hujifanya ni ndugu zao au wazazi wao,mfano atakutambulisha labda kwa shangazi yake
anaye kwambia ndio anaishi nae,but mara nyingi huwa ni watu tu ambao
kawapanga,sanasana utakuta ni makahaba wazee waliostaafu.au madereva taxi wazee.


mwisho ningependa kuonya kuwa unaweza kukuta msichana ana sifa zote hapo but still sio taxi bubu,sio kahaba.so carefull....
na ukithibitisha ni taxi bubu please achana nae kwa ustaarabu
au mshawishi aache kama unampenda,niseme tu hii ni biashara kubwa mno duniani,na hapa bongo wanawake wengi wanajishughulisha nayo kimya kimya,wengine wameshaolewa na vigogo,but walitokea huko.wengine wameshabadilisha fani nahuwezi jua ukiwaona now,wazungu wanaiita
the oldest profession in the world....
 
hivi utamjuaje mwanamke ambaye umeanzisha nae mahusiano kuwa
ni taxi bubu?i mean ni prostitute wa siri? sasa hizi tips za kujua
1.weekend yuko bize.
mwanamke akiwa ni taxi bubu,mara zote utakuwa huonani nae siku za weekend jioni,atakupa sababu tele,mara kichen pati,mara msiba kwa shangazi n,k.
2.yuko free sana jumatatu na jumanne
siku za jumatatu na jumanne ndio siku ambazo sio za biashara kabisa
kwa hiyo atakuwa free sana,utasdhangaa hakuna msiba wala kikao cha harusi,but ikianza jumatano mpaka jumapili she is busy.
3.ana taxi zake maalum
biashara ya ukahaba,wadau wake wakuu ni madereva taxi,huwa wanawapunguzia bei ma cd,na utaona kila kahaba ana taxi zake maalum,zinazomfata popote saa yeyote.
4.begi lake liko full vifaaa.
ni kweli wanawake wote hubeba mabegi na hutia vitu vingi ndani ya hayo mabegi,but makahaba mabegi yao huwa yanazidi urembo,na hayakosi nguo za kubadilisha,hii inawasaidia popote alipo anaweza kuanza safari bila kurudi home.
5.anakutafuta usiku wa manane au alfajiri.
siku biashara ikichacha utashangaa mtu kakuibukia mda mbaya ukimuuliza
ulikuwa wapi atakupa owongo uliopangiliwa,mara harusi ilichelewa kuisha
au katoroka msibani....au uwongo wowote mtamu.na tabia ya kukupigia simu usiku wa manane pia.
6.anafahamiana na ma cd wengi
ukimuuliza hao unafahamiana vipi,atakwambia nilisoma nao.au niliwahi kukaa nao mtaa mmoja au ndugu yake shemeji n.k
7.kinondoni factor.
kwa DAR kinondoni ni kama centre ya ma cd,so ukiona gf wako anaishi kinondoni au haishi huko but anakwambia ana rafiki au shangazi au ndugu huko na huwa anakwenda na kulala huko,watch out.
8.hubadili simu mara kwa mara
kwa kawaida ma cd huwa wanawaibia wateja vitu hasa simu,na huuziana wenyewe kwa wenyewe,simu kwao huwa kama asset hivi,ili mtu akiishiwa aiuze apate pesa,
9.husafiri sana hasa weekends
wapo watu huchukua ma cd na kwenda kustarehe nao z,bar au arusha au popote kule mbali na dar,pia ma cd huenda wenyewe hasa wanapojua
kuna wageni eneo fulani labda kuna meli za mabaharia mombasa,
10.unapokuwa nae out kuna tofauti
mara nyingi kama mwanamke ni cd au taxi bubu,watu kama madereva taxi
au ma bar maid na wahudumu wa guest na hoteli huwa wanawajua,utaweza gundua kuna tofauti ya treatment,as if wanamuonyesha dharau fulani ya kichichini.hawam heshimu kama mwanamke mwingne.
11.ana namba nyingi za simu.
hili linaeleweka nadhani
12.hapendi kutembea mchana
hili nalo linaeleweka nadhani.
13.anajuana na wanamuziki wengi
hii huwasaidia kuingia bure kwenye maonesho makubwa ya bendi mbalimbali.
14.hujistukia
utaona kwenye mazungumzo yake akiwaponda ma cd au kuwa wa kwanza
kukueleza kuhusu rafiki yake ambaye ni cd ili kujilinda.au hupenda kusema
"usifikiri mi changudoa"hata kama mazungumzo hayahusu.
15.anajua ratiba ya weekend ya kumbi zote
hili nalo linaeleweka nadhani...
16.dodoma
kila kikifika kipindi cha bunge karibu ma cd wote wa tz wanaenda dodoma
so utagundua katika story zake aliwahi kwenda dodoma katika kipindi cha
bunge,wakati pengine hana kazi inayohusiana na bunge.utasikia alimsindikiza shosti wake hivi au vile.
17.hana wivu sana.
hawana sana tabia za wivu wala kutazama simu yako.
18.huongopa kuhusu kazi au masomo
atasema aliwahi fanya kazi hotelini au anasomea kozi fulani,wengine kweli ni wanafunzi wa vyuo mbalimbali.
19.hawapendi kulambwa bure
hii ndhani inaeleweka,kwa kuwa hawezi kukuambia ni biashara,atakuwa kila mara anakutajia shida ya pesa kabla hujam nanihii,utajikuta kila ukim nanihii unampa pesa bila kujua.
20.wazazi.
mara nyingi ma cd huwa na watu ambao mara nyingi hujifanya ni ndugu zao au wazazi wao,mfano atakutambulisha labda kwa shangazi yake
anaye kwambia ndio anaishi nae,but mara nyingi huwa ni watu tu ambao
kawapanga,sanasana utakuta ni makahaba wazee waliostaafu.au madereva taxi wazee.


mwisho ningependa kuonya kuwa unaweza kukuta msichana ana sifa zote hapo but still sio taxi bubu,sio kahaba.so carefull....
na ukithibitisha ni taxi bubu please achana nae kwa ustaarabu
au mshawishi aache kama unampenda,niseme tu hii ni biashara kubwa mno duniani,na hapa bongo wanawake wengi wanajishughulisha nayo kimya kimya,wengine wameshaolewa na vigogo,but walitokea huko.wengine wameshabadilisha fani nahuwezi jua ukiwaona now,wazungu wanaiita
the oldest profession in the world....

...duh, eh hehe...haya kaka.

"...unapotumikia kifungo ni hiari yako (kupitisha masiku kwa...) kuchungulia tope ardhini, au kufurahia nyota zing'arazo angani!..."
 
The Boss,

Ulishawahi kuwa na taxi bubu nini? (Just Kidding)

Its a good review... and helpful too.
 
...duh, eh hehe...haya kaka.

"...unapotumikia kifungo ni hiari yako (kupitisha masiku kwa...) kuchungulia tope ardhini, au kufurahia nyota zing'arazo angani!..."

yess?
 
Back
Top Bottom