ni mtoto wamkulima aliyeishi maisha ya kifisadi kwa mda mlefu tuu atakumbukaje mashamba, na kwa taalifa yako hawa watoto wanaokuwa wawakulima wakipata ****** hulia mbwatamwata!Kadri siku sinavyopita ndiyo busara zake zinapungua. Alipoteuliwa kwa mara ya kwanza alionekana kama anajua mambo na mwenye huruma hadi kujinasibu kuwa yeye ni mtoto wa mkulima. Lakini sasa amenogewa na ufisadi hakumbuki alikotoka!