Ngeleja na mpango wake wa dharula yuko wapi? au ndo hela walipeleka uzini na igunga? na sasa arumeru east?
Hii nchi haina mwenyewe tokea Nyerere auwawe
Wameona madhara ya kutumia mipesa kibao kwenda ikulu bila kujua wataendeshaje nchi....nchi haiendi kwa auto pilot!!ndio mjifunze wale wanaokimbilia ikulu tuwaulize mara tatu wanafuata nini???
Hili jambo la wagombea kutokubali kujibu maswali ya wananchi, kutokubali kusimama majukwaani pamoja na wanasiasa wenzake kujibishana kiushindani kuhusu sera za vyama vyao na siasa za uongozi wa nchi kwa ujumla ni lazima litazamwe kwa undani. Kama kiongozi hana uwezo wa kusimama jukwaani akajibu maswali ya papo kwa hapo na kujipima na wanasiasa wenzake kuhusu mipango aliyo nayo ya kuendeleza nchi yetu na aweze kueleza kinaga ubaga atakavyosimamia kuboresha uchumi wa nchi basi hatufai! Hicho ni lazima kiwe kigezo 2015.
Tanesco has deeper issues beyond the current popularized ones..., if lets say a new household needs to connect to their so called grid,the y have to bribe everyone to get it on top of the service line fee they pay.bribe the manager,bribe the technicians,bribe the drivers,bribe the inspectors..,then if lucky wait for may be six months before they finally get to see the elusive power..,guess what..,they will be welcomed with severe rationing thereafter..,
Then we have Tanesco lamenting that they do not have cash..,the fact of the matter is your so called mafundi's and employees a re fcuking up the company all the way..,
One day The government will wake up and Tanesco will get competitors,then they will have to fight for customers the way TTCL does now..,May be then,they will learn how to run an efficient organization,one that is free of corruption and one with a vision to deliver good service.
Sad thing is everyone inside Tanesco knows about these things..,yet they have opted to chill out and wait for the day when they run to the ground...,Bastards!
Dr Rashid iokoe Tanesco! hawa madogo Ngeleja na jamaa wa SMG bure kabisa! ulitabiri Dr nchi itaingia gizani! hawakukuelewa! ondoka huko Amana Bank iokoe Tanesco.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.