Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Hii CCM sasa sijui ni urithi gani inaviachia vizazi vijavyo...................yaani hata viongozi wa wanafunzi sasa ni magwiji wa kuchakachua.............tutafika kweli?My Take:
Natoa wito kwa viongozi wa wanafunzi, kufanya mambo yao kwa kuzingatia utaratibu waliojiwekea badala ya kufanya mambo wao binafsi na kudai kuwa ni mawazo ya wote. Kufanya hivyo ni kuwadhalilisha wanafunzi ambao katika suala husika lilotolewa tamko limeligawa taifa wakiwepo wanafunzi wenyewe ambao ni wapenzi wa vyama na itikadi mbalimbali.
QED