Kumbe soka letu bado

idumu

Member
Jun 5, 2009
44
1
Nadhani Watz waache majigambo, Maana kuifunga new zealand tulioongea mno na TV zetu, na viredio vyetu. Jana wameangamazi 5 bila na SPAIN, Tujipime na timu za Afrika zilizo bora ili kujua kiwango chetu.

Badooooooooo!!
 
new zealand ni washindi wa oceania na bado kiwango chao sio kibaya hata kama tuliwafunga.mbona new zealand hao hao walifungwa kwa taabu sana na italy kwenye mechi ya kirafiki 4-3? spain moto mkubwa usifanye nao mchezo,ndio wako namba moja duniani mtu yoyote ukiingia vibaya pale unakula dozi.kwahio soka la tanzania limekuwa kwa kiasi flani na sio mbaya kujipima na timu kama hile.tuache kulinganisha mambo kiajabu ajabu.hata tukipewa mechi ya kirafiki na england sio mbaya , haina haja kucheza na waafrika wenzetu kila wakati kama unavyosema.kuna njia nyingi za kujifunza na kuna vitu vingi vya kujifunza.
 
Sema na sisi tuliongea saana kuhusu ule ushindi!! Maximo alishangilia hadi akateguka mguu wakati hata kombe la challenge hajawahi kuchukua! Tumeharibu mpira wetu tumeingiza siasa ndani yake, mie nakwambia.
 
Hakika timu ya Tz ni bora na inahitaji timu timu za viwango kama hizo ili kupandisha kiwango chetu.

Kucheza na timu kama hizo tunapata faida ifuatavyo
1.kuwaondoa vijana uoga wachezaji wetu na kujenga kujiamini
2.kuitangaza tz katika soka za kimataifa
3. kuongeza rank katika fifa
 
Nadhani Watz waache majigambo, Maana kuifunga new zealand tulioongea mno na TV zetu, na viredio vyetu. Jana wameangamazi 5 bila na SPAIN, Tujipime na timu za Afrika zilizo bora ili kujua kiwango chetu.

Badooooooooo!!

Mkuu mpira haufuati commutative au assiciative property za kwenye hesabu yaani; If A=B, and B=C, then A=C! No it doesn't work like that......! Sisi kumfunga Newzland na yeye kufungwa na Spain si lazima ati sisi tunaweza fungwa au kuifunga Spain automactically!

Mpira huwa unadunda mkubwa...hukumbuki worldcup 2002 Senegal walivyoiharibia France?
 
Back
Top Bottom