tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Kuna kijana mmoja alienda kuungama kwa padre.Mojawapo ya dhambi zake ilikuwamo hii ...'Jana usiku nilikwenda beach nikawaona watu wawili wamelala nadhani walikuwa wana...nikawa nawamulika na tochi ya simu...' Kabla kijana hajamaliza sentensi yake padre akamkata kauli na kumwambia 'pumbafu kumbe wewe ndo ulikuwa unatusumbua kwenye starehe zetu!'