kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Kuna tabia ya zamani kidogo ambayo sio nzuri, eti mtu anakwenda na hawara nyumbani kwa mke wake au mume wake na kumtambulisha kwamba huyu ni wifi yako au shemeji yako.
Hivi kweli huu ni uungwana, nauliza tena huu ni uungwana? unashindwa kumalizana nae huko unamleta nyumbani?
Tancut Almas waliliona hilo hebu bonyeza hapa
Leaving Facebook... | Facebook
Hivi kweli huu ni uungwana, nauliza tena huu ni uungwana? unashindwa kumalizana nae huko unamleta nyumbani?
Tancut Almas waliliona hilo hebu bonyeza hapa
Leaving Facebook... | Facebook