Kumbe ni wewe

Ujugu

Member
Jul 8, 2012
37
7
Tupo ofisini asubuhi,mhacbu yuko pembeni bize,nkachungulia kumbe yuko Jf cjui anasoma post au anacomment,ngoja nindelee kuchungulia,ila hajui na mimi nipo huko.
 
inaonyesha jinsi gani maofisi yanapoteza ufanisi wa wafanya kazi coz kutwa wako JF :redface:
 
Tupo ofisini asubuhi,mhacbu yuko pembeni bize,nkachungulia kumbe yuko Jf cjui anasoma post au anacomment,ngoja nindelee kuchungulia,ila hajui na mimi nipo huko.

Nmetoka kupata breakfast ananiambia et kuna kaz anamalizia huku naona kabisa yuko Jf,ila anajua cjui hata kama kuna Jf.
 
Back
Top Bottom