Mtumiabusara
JF-Expert Member
- Nov 18, 2009
- 473
- 40
Ndio maana mi huwa naweka vocha ya jiti tatu. Wakitaka kuniibia wanashindwa.
Duuu, 300 unaongea dak ngapi? au ndo tigo thumuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana mi huwa naweka vocha ya jiti tatu. Wakitaka kuniibia wanashindwa.
Katavi ukinunua vocha ya elfu tano hupati thamani ya elfu tano kuna charges na kodi zinakatwa kwahiyo utapata thamani ya 4600/- hivi ukichanganya na wizi wao inaweza kuwa hata chini ya hapo.Juzi simu yangu ya Zantel nimeongea dakika 1 na sekunde 20 wakanikata 1020 baada ya kulalamika wakarudisha 470/- sasa wangapi kati yetu huangalia salio kabla na baada ya kupiga ? ili ujue imeibiwa au la.
Nauli bei juu, Baba V atatembea sana kutoka Lumo to kibaruani kwake
Aisee yaani Sumatra naona walinidhamiria mimi, nina mpango wa kuacha kazi au nihamie Tegeta. Hivi wapi wanakopesha pikipiki!? na masharti yake ni yepi!?
hivi baiskeli shngapi?
Ok, unataka Lifan, Sun LG au TOYO?
Kwani kinachouzwa ni vocha au muda wa hewani? vocha yawezakuwa 500 lakin muda wa hewani juu.Huku mtaani kwa kweli hali ni ngumu ajabu, kila kitu bei juu, vocha tu ndio bei ileile ya mwaka jana. Sijui wanatuvutia pumzi bado!!!
Nazifahamu basi..?? ila kuna vile vidogodogo vinaelekea kufanana na Vespa, nikikipata kama kile watanikoma Lumo.:A S shade:
Enhee kama hikcho kidogo, sijui vinauzwaje vile?? na mkopo je? nikikipata kama hicho kutoka Lumo hadi Makirikiri dakika tano tu, mbona watakoma....!!!
ah ah!
Hicho kinauzwa bei sawa na bure, nenda pale tunakopesha utakapata kwa mkopo.. Nawewe ujitesee huko makirikiri
Naenda aisee, afu nikikukuta na Navara yako lazima niku ovateki