Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Mwanzoni sikuweza kumuelewa Dr.Slaa kuhusu maagizo mbalimbali anayompa kikwete kutekeleza, na sasa nimemwelewa hasa baada ya juzi Kikwete kuahidi kujenga Reli itakayopitisha treni iendayo kwa kasi.Kwa upande mwingine Ahadi hiyo tayari ilishatolewa na CHADEMA kama lengo la chama la muda mrefu hapo hapo Meneja wake wa kampeni Kinana alimpinga Dr.Slaa kuwa ni ndoto ya mchana.Ama kweli Slaa sasa ni muda wake kuyafanya yeye badala ya kumulekeza kikwete.
Nawasilisha
Nawasilisha