BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Kumbe katibu wetu mwenezi ndugu Nape ni mwinjilist, alitumikia kanisa huko Singida kabla ya kuingia kwenye siasa. Namshauri arudie utumishi wa kanisa kwani anaweza akapanda na kuwa mchungaji
Kumbe katibu wetu mwenezi ndugu Nape ni mwinjilist, alitumikia kanisa huko Singida kabla ya kuingia kwenye siasa. Namshauri arudie utumishi wa kanisa kwani anaweza akapanda na kuwa mchungaji
ndio maana kaamini kirahisi hoja ya kuvua gamba
... Please justfy !
..kwa uelewa wangu Brig.Moses Nnauye[rip] baba mzazi wa Nape alikuwa Muislamu.
..nadhani Nape naye amechukua dini ya baba yake, sasa huku kutumikia kanisa ni kwa misingi ipi?
Na mjue Mama ake Nape alikuja kuachana na Brigedia..so Nape kakulia sana kwa Mama
<br />Kwahiyo unatuambia kwamba Nape ni mtoto wa mama?aaah namanisha alishi na mama yake mda wote hadi anamaliza masomo yake na ndipo hapo alipopata nafasi ya kuwa mchungaji kama babu wa loliondo?
..kwa uelewa wangu Brig.Moses Nnauye[rip] baba mzazi wa Nape alikuwa Muislamu.
..nadhani Nape naye amechukua dini ya baba yake, sasa huku kutumikia kanisa ni kwa misingi ipi?