Yatupasa watanzania tufike mahala tuwe makini zaidi katika utafutaji! Nadhani njia hii ni ya kimwinyi sana ambayo uwezo wake wa kudumu sokoni ni mdogo mno, hivyo basi yatupasa tuwashauri watu kama hawa wawe makini katika kujitafutia rizki vinginevyo tabaka la wasio na kazi halitapungua kamwe!
Huu unaitwa ujasiliamali. Ukiuliza kama hawa wahudumu wa huduma hii wanahesabikaje katika employment 2000000 zilizoundwa na Sisi m, utaambiwa nao wamo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.