J.K.Rayhope
JF-Expert Member
- Oct 26, 2011
- 316
- 31
Wana jamvi,habarini za leo?Za majukumu?Si utani,leo ktk kata ya Pasiansi nimekuta mkutano wa NCCR-Mageuzi,viongozi wanahutubia.Ajenda kuu ni Kafulila kwamba ameshajinyonga mwenyewe kisiasa.Na taarifa ni kwamba mahakama imekubali rufaa ya Kafulila,hivi jopo la viongozi 8 wa kamati kuu za vyama wanaweza kumng'oa mbunge aliyechaguliwa na watu zaidi ya 30,000 kwamba hawa ni wehu na sisi 8 tuna akili.Basi nina wazo,wale"CC ya Gambaz " wamfukuze uanachama Baba Riz halafu apoteze sifa na dhamana ya kuwa "Mkuu wa inchi" Mnasemaje wanajanvi?