Kumbe Mwanza NCCR Mageuzi ipo!

J.K.Rayhope

JF-Expert Member
Oct 26, 2011
316
31
Wana jamvi,habarini za leo?Za majukumu?Si utani,leo ktk kata ya Pasiansi nimekuta mkutano wa NCCR-Mageuzi,viongozi wanahutubia.Ajenda kuu ni Kafulila kwamba ameshajinyonga mwenyewe kisiasa.Na taarifa ni kwamba mahakama imekubali rufaa ya Kafulila,hivi jopo la viongozi 8 wa kamati kuu za vyama wanaweza kumng'oa mbunge aliyechaguliwa na watu zaidi ya 30,000 kwamba hawa ni wehu na sisi 8 tuna akili.Basi nina wazo,wale"CC ya Gambaz " wamfukuze uanachama Baba Riz halafu apoteze sifa na dhamana ya kuwa "Mkuu wa inchi" Mnasemaje wanajanvi?
 
Wana jamvi,habarini za leo?Za majukumu?Si utani,leo ktk kata ya Pasiansi nimekuta mkutano wa NCCR-Mageuzi,viongozi wanahutubia.Ajenda kuu ni Kafulila kwamba ameshajinyonga mwenyewe kisiasa.Na taarifa ni kwamba mahakama imekubali rufaa ya Kafulila,hivi jopo la viongozi 8 wa kamati kuu za vyama wanaweza kumng'oa mbunge aliyechaguliwa na watu zaidi ya 30,000 kwamba hawa ni wehu na sisi 8 tuna akili.Basi nina wazo,wale"CC ya Gambaz " wamfukuze uanachama Baba Riz halafu apoteze sifa na dhamana ya kuwa "Mkuu wa inchi" Mnasemaje wanajanvi?

ulilala wapi jana? kwa kimada nini au umeamka nazo?
anyway shukrani kwa taarifa ya kuwapo kwa NCCR Mageuzi Mwanza.
 
Wana jamvi,habarini za leo?Za majukumu?Si utani,leo ktk kata ya Pasiansi nimekuta mkutano wa NCCR-Mageuzi,viongozi wanahutubia.Ajenda kuu ni Kafulila kwamba ameshajinyonga mwenyewe kisiasa.Na taarifa ni kwamba mahakama imekubali rufaa ya Kafulila,hivi jopo la viongozi 8 wa kamati kuu za vyama wanaweza kumng'oa mbunge aliyechaguliwa na watu zaidi ya 30,000 kwamba hawa ni wehu na sisi 8 tuna akili.Basi nina wazo,wale"CC ya Gambaz " wamfukuze uanachama Baba Riz halafu apoteze sifa na dhamana ya kuwa "Mkuu wa inchi" Mnasemaje wanajanvi?

kichwa cha habari na mada hata haviendani,kama NCCR ipo mwanza we ulitakaje?? isiwepo? au wewe ndo mke wa tendwa? kaifute basi mwanza ibaki kwenu make habari zengine upupu mtupu! afu usisahau kwenda kukojoa na ukalale ***** we
 
ni kweli wapo Mwamza, niliwasikia jana wakitangaza kuwepo mkutano kata ya pasiansi, na kumtaja Moses Machali kuwa ni kijana machachali, wengi mtaani kwetu walisema, hawa nao wamekuja kufanya nini?
 
kichwa cha habari na mada hata haviendani,kama NCCR ipo mwanza we ulitakaje?? isiwepo? au wewe ndo mke wa tendwa? kaifute basi mwanza ibaki kwenu make habari zengine upupu mtupu! afu usisahau kwenda kukojoa na ukalale ***** we

Du umejitahidi!Ongeza bidii.Kumbe unajitambulisha kwa namna ulivyochangia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom