kama ameonelea ni vizuri akuambie that she's married, chukulia kama ishara ya kuwa anakuamini na kukudhamini. human beings by nature are not solitary animals, hatuwezi ishi maisha ya kipekee na kuwa na mahusiano ya kimapenzi ni lazima. kama amekupenda na wewe unafeel the same, sioni tatizo lolote. cha msingi naona umkalishe chini muelewe mnaelekea wapi. anaweza kuwa alikuwa ankueleza kuwa ana mume ili usije ukamzimia au ili umtoe kwenye hayo maisha ya utumwa. mawasiliano ndo hujenga relationships
Aisee unafanya mchezo na mke wa mtu, naona unatafutwa kupondwa hizo nyeti zako@makoye78Jamani, kwa takribani miezi saba nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja mwenye umri wa miaka 35, mwaka mmoja zaidi yangu! Ukweli mimi ni mwanafunzi na dada huyu ni mtumishi ktk idara ya afya hapa Dodoma, hivyo nikiwa na shida ya kifedha huwa ananisaidia sana!
Swala ni kwamba, hivi majuzi ndo kaniambia ya kuwa yeye ni mke wa mtu, lakini hajisikii kuendelea tena na mumewe ambaye wamezaa nae watoto wawili! Sababu ni kwamba bwana yule hana elimu na cha zaidi, anatumia vibaya pesa za biashara yake ambayo mtaji alipewa na mkewe huyo!
Swali, je unanishauri niendelee na huyu mwanamke ama nimuache?
Je nikiendelea naye mwisho wake ni nini?
Mweee!!Mke wa mtu sumu.Itafika kipindi hata wewe utatafutiwa mwingine ambaye ataelezwa kuwa unatumia fedha zake vibaya.Shukuru Mungu umeujua ukweli..kimbia haraka na utubu kwa hiyo dhambi(Kumbuka mtenda hutendwa)
Lilian Masilango! Una ushauri mzuri, ila inaonekana una tabia ya kulipiza....! Ukimpa vizuri, mmeo hatatoka nje! Ila usipomridhisha atatoka..... Mtaishia kulipizana!
Zomba huna lolote! Ushauri feki!
Mweee!!Mke wa mtu sumu.Itafika kipindi hata wewe utatafutiwa mwingine ambaye ataelezwa kuwa unatumia fedha zake vibaya.Shukuru Mungu umeujua ukweli..kimbia haraka na utubu kwa hiyo dhambi(Kumbuka mtenda hutendwa)
Du ndugu yangu kumbe ww ni mwanafunzi yaani bora ungekuwa Mwanachuo, lakini sikushauri kwani huyo Dada ana miaka 35 wewe una chini ya 20, ushauri wa zomba kapime kwani huyo dada ni mzoefu sana kwako halafu mapenzi ya Pesa ni uongo mtupu hakuma Mwanamke atakupa pesa kwa ajili ya penzi hata km ni Mbunge anayepokea 200,000/= hapa Dodoma
Namalizia kusema huyo dada bado atajaribu wanaume wengine kadhaa kwa pesa yake ili kupima urijali wao ww keshakuacha
Tambua hilo
Jamani, kwa takribani miezi saba nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja mwenye umri wa miaka 35, mwaka mmoja zaidi yangu! Ukweli mimi ni mwanafunzi na dada huyu ni mtumishi ktk idara ya afya hapa Dodoma, hivyo nikiwa na shida ya kifedha huwa ananisaidia sana!
Swala ni kwamba, hivi majuzi ndo kaniambia ya kuwa yeye ni mke wa mtu, lakini hajisikii kuendelea tena na mumewe ambaye wamezaa nae watoto wawili! Sababu ni kwamba bwana yule hana elimu na cha zaidi, anatumia vibaya pesa za biashara yake ambayo mtaji alipewa na mkewe huyo!
Swali, je unanishauri niendelee na huyu mwanamke ama nimuache?
Je nikiendelea naye mwisho wake ni nini?
Asante Lilian, kumuacha ni vema! Suala ni kwamba nitumie mbinu ipi kumwacha bila kumfanya akaumia sana?