kuna thread hapa JF ya kaka aliyekatwa mkono kwa kutembea na mke wa mtu. isome halafu utafahamu uamuzi wa kuchukua
hivi hata mke wa mtu akiachwa na kibuzi anaumia?
Yeye ni daktari (Doctor of Medicine- MUCHS), anadai mumewe ni form four tu! Mimi ninafanya masters, hivyo anaona mie ninamfaa zaidi! Ila ukweli ni kwamba, baada ya yeye kuniambia juu ya hili la mumuwe, ndo nikaanza kustuka ya kuwa hanipendi bure, bali elimu na sura! Hii ni kutokana na moangezi yake niongeapa nae! Ndo maana naomba ushauri.
Jamani, kwa takribani miezi saba nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja mwenye umri wa miaka 35, mwaka mmoja zaidi yangu! Ukweli mimi ni mwanafunzi na dada huyu ni mtumishi ktk idara ya afya hapa Dodoma, hivyo nikiwa na shida ya kifedha huwa ananisaidia sana!
Swala ni kwamba, hivi majuzi ndo kaniambia ya kuwa yeye ni mke wa mtu, lakini hajisikii kuendelea tena na mumewe ambaye wamezaa nae watoto wawili! Sababu ni kwamba bwana yule hana elimu na cha zaidi, anatumia vibaya pesa za biashara yake ambayo mtaji alipewa na mkewe huyo!
Swali, je unanishauri niendelee na huyu mwanamke ama nimuache?
Je nikiendelea naye mwisho wake ni nini?
tobaa!! dini yangu inasema; usitamani mke asiyewako, kumbe Mungu hakukosea aliposema hivyosi afadhaki mikono anayo miwili..nimewahi ona picha ya mtu anakatwa 'kikojoleo' kabisa!!
fine, for you I willoooh, naomba iendelee kuwa slow tu.Nikiwa nakusoma huwa najikuta meno yako nje sababu nakunja sana macho kupunguza mwanga.Hujambo lakini?
Jamani, kwa takribani miezi saba nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja mwenye umri wa miaka 35, mwaka mmoja zaidi yangu! Ukweli mimi ni mwanafunzi na dada huyu ni mtumishi ktk idara ya afya hapa Dodoma, hivyo nikiwa na shida ya kifedha huwa ananisaidia sana!
Swala ni kwamba, hivi majuzi ndo kaniambia ya kuwa yeye ni mke wa mtu, lakini hajisikii kuendelea tena na mumewe ambaye wamezaa nae watoto wawili! Sababu ni kwamba bwana yule hana elimu na cha zaidi, anatumia vibaya pesa za biashara yake ambayo mtaji alipewa na mkewe huyo!
Swali, je unanishauri niendelee na huyu mwanamke ama nimuache?
Je nikiendelea naye mwisho wake ni nini?
Yeye anataka mume mwenye elimu gani? Na kama tatizo ni elimu, mwambie ampeleke shule. Kwa wewe huuyo hakufai, maana inavyooneka wewe unachopenda hapo ni pesa yake tu.
Sababu ni mbili tu,mwanamke anataka kuvunja ndoa!Asalaale!Nazidi kupata kizunguzungu,nitaoa kweli?
tena kwa kutumia grisi ya kulainisha mitambo na machines. Na usishangae ukipigwa mtungo. Achana na mke wa mtu *-+(#@#$$%wewe.mwisho wake ni wewe kuliwa tigo
Jamani, kwa takribani miezi saba nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja mwenye umri wa miaka 35, mwaka mmoja zaidi yangu! Ukweli mimi ni mwanafunzi na dada huyu ni mtumishi ktk idara ya afya hapa Dodoma, hivyo nikiwa na shida ya kifedha huwa ananisaidia sana!
Swala ni kwamba, hivi majuzi ndo kaniambia ya kuwa yeye ni mke wa mtu, lakini hajisikii kuendelea tena na mumewe ambaye wamezaa nae watoto wawili! Sababu ni kwamba bwana yule hana elimu na cha zaidi, anatumia vibaya pesa za biashara yake ambayo mtaji alipewa na mkewe huyo!
Swali, je unanishauri niendelee na huyu mwanamke ama nimuache?
Je nikiendelea naye mwisho wake ni nini?
Yeye ni daktari (Doctor of Medicine- MUCHS), anadai mumewe ni form four tu! Mimi ninafanya masters, hivyo anaona mie ninamfaa zaidi! Ila ukweli ni kwamba, baada ya yeye kuniambia juu ya hili la mumuwe, ndo nikaanza kustuka ya kuwa hanipendi bure, bali elimu na sura! Hii ni kutokana na moangezi yake niongeapa nae! Ndo maana naomba ushauri.