Kumbe mpenzi wangu ni mke wa mtu?

Yeye ni daktari (Doctor of Medicine- MUCHS), anadai mumewe ni form four tu! Mimi ninafanya masters, hivyo anaona mie ninamfaa zaidi! Ila ukweli ni kwamba, baada ya yeye kuniambia juu ya hili la mumuwe, ndo nikaanza kustuka ya kuwa hanipendi bure, bali elimu na sura! Hii ni kutokana na moangezi yake niongeapa nae! Ndo maana naomba ushauri.

haaaa, we mgonge tu usogeze masters yako!!!! ukimaliza, kimbia, mbwage puuuuuu

PJN mtwara
 
Last edited by a moderator:
Jamani, kwa takribani miezi saba nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja mwenye umri wa miaka 35, mwaka mmoja zaidi yangu! Ukweli mimi ni mwanafunzi na dada huyu ni mtumishi ktk idara ya afya hapa Dodoma, hivyo nikiwa na shida ya kifedha huwa ananisaidia sana!
Swala ni kwamba, hivi majuzi ndo kaniambia ya kuwa yeye ni mke wa mtu, lakini hajisikii kuendelea tena na mumewe ambaye wamezaa nae watoto wawili! Sababu ni kwamba bwana yule hana elimu na cha zaidi, anatumia vibaya pesa za biashara yake ambayo mtaji alipewa na mkewe huyo!
Swali, je unanishauri niendelee na huyu mwanamke ama nimuache?
Je nikiendelea naye mwisho wake ni nini?

dah... pole kwako na kwa mpezi wako na mume wa mpenzi wako.... hiyo love triangle ina hasara kuliko faida aisee
 
si afadhaki mikono anayo miwili..nimewahi ona picha ya mtu anakatwa 'kikojoleo' kabisa!!
tobaa!! dini yangu inasema; usitamani mke asiyewako, kumbe Mungu hakukosea aliposema hivyo

oooh, naomba iendelee kuwa slow tu.Nikiwa nakusoma huwa najikuta meno yako nje sababu nakunja sana macho kupunguza mwanga.Hujambo lakini?
fine, for you I will
 
Jamani, kwa takribani miezi saba nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja mwenye umri wa miaka 35, mwaka mmoja zaidi yangu! Ukweli mimi ni mwanafunzi na dada huyu ni mtumishi ktk idara ya afya hapa Dodoma, hivyo nikiwa na shida ya kifedha huwa ananisaidia sana!
Swala ni kwamba, hivi majuzi ndo kaniambia ya kuwa yeye ni mke wa mtu, lakini hajisikii kuendelea tena na mumewe ambaye wamezaa nae watoto wawili! Sababu ni kwamba bwana yule hana elimu na cha zaidi, anatumia vibaya pesa za biashara yake ambayo mtaji alipewa na mkewe huyo!
Swali, je unanishauri niendelee na huyu mwanamke ama nimuache?
Je nikiendelea naye mwisho wake ni nini?

..mwisho wake nawe atakutangazia anakupa pesa yake, elimu yako "dhiki" tu, na hajiskii tena kuendelea nawe. Inshort, 'what goes around comes around!'

....hapo hujafumaniwa bado na mumewe :cool:
 
Sababu ni mbili tu,mwanamke anataka kuvunja ndoa!Asalaale!Nazidi kupata kizunguzungu,nitaoa kweli?
 
Muulize Dr. Slaa anakumbana na maswaibu gani sasa! Tafuta wa kwako, acha mambo ya kudandia.
Jamani, kwa takribani miezi saba nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja mwenye umri wa miaka 35, mwaka mmoja zaidi yangu! Ukweli mimi ni mwanafunzi na dada huyu ni mtumishi ktk idara ya afya hapa Dodoma, hivyo nikiwa na shida ya kifedha huwa ananisaidia sana!
Swala ni kwamba, hivi majuzi ndo kaniambia ya kuwa yeye ni mke wa mtu, lakini hajisikii kuendelea tena na mumewe ambaye wamezaa nae watoto wawili! Sababu ni kwamba bwana yule hana elimu na cha zaidi, anatumia vibaya pesa za biashara yake ambayo mtaji alipewa na mkewe huyo!
Swali, je unanishauri niendelee na huyu mwanamke ama nimuache?
Je nikiendelea naye mwisho wake ni nini?
 
imagine amuache mumewe aolewe na wewe...
Then mwanamke apate mwanaume mwenye elimu kubwa zaidi yako...... ATAKUACHA!????
 
Hivi kwanini watu hawafikirii??? unatembea na mke wa mtu na unakuja hapa JF kuhalalisha??? Hao watoto unataka kuwaharibia maisha??unajua shida ya kulelewa na mama wa kambo??? naomba ujue hao watoto wakija kupata shida wewe ndo utapata laana!!!! Shame on You!!!
 
Achana naye wanawake wengi tu bado hawajaolewa bora ukawasitiri wao kuliko huyo mnafiki.
 
Yeye ni daktari (Doctor of Medicine- MUCHS), anadai mumewe ni form four tu! Mimi ninafanya masters, hivyo anaona mie ninamfaa zaidi! Ila ukweli ni kwamba, baada ya yeye kuniambia juu ya hili la mumuwe, ndo nikaanza kustuka ya kuwa hanipendi bure, bali elimu na sura! Hii ni kutokana na moangezi yake niongeapa nae! Ndo maana naomba ushauri.

si unajua mla vya wenzake na vyake pia huliwa???? Inaonesha ni kiasi gani huyo mdada kakuzidi akili inamaana mpaka sasa hujajua tu nia na lengo lake??? Mbona uhusiano wenu emekaa kimtego mtego sana ??? Wewe unampenda shauli ya vijisent vyake ambavyo kakuhonga miaka yote hiyo sasa na yeye anataka now arudishe fidia na kupunguza hasara kwa stage ulio fikia kielim anajua mda wowote kuanzia sasa utaanza kula mavuno ambayo naye anahusika hivyo lazima ashiliki kula matunda ya mavuno hayo?? Lakini kaa ukijua huyo ni mke wa mtu tena kesha zaa nae mpaka watoto wewe huna lolote zaidi ya kuhongwa tu
 
ww heb mwache mke wa mwenzio msiwafanye hao watoto wakose malez ya baba na mama, na huyo bi mkubwa wakati anaolewa na huyo mumewe hakumuona kuwa ni form four, si amsomeshe kama ana hela sana za kuhonga wanaofanya masters, ndg yangu huyo mama gube gube,una miaka 35 saa hz hairud nyuma hyo inakwenda mbele haya ukiendelea kumng,ang,ania huyo ATM machine wako ln utaanza maisha yako uanzishe na ww family yako??? tafakar kaka.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom