Kuna mtu nilimsikia akisema mavazi ya pm huwa yanamshangaza,mara nyingi anavaa kachumbari.nikawa najiuliza kachumbari ndo nini,nikaja pata jibu siku chache zilizopita baada ya kuambiwa nimevaa kachumbari na ndugu yangu,msichana. Angalia suti yake,rangi ya koti haiendani na rangi ya suruali aliyovaa. Sina maana mbaya lakini.
Bwana spider nakushauri usiwe unaweka joja sizizojenga kwa wasomaji, ujue kwamba site hizi ni wasomi na watu wene mitazamo tofauti wanolenga kujifunza na kuhabrishwa kwa mambo ya msingi. hii si fb unakoweka kila uchafu ili mpenzi wako asome
Asante!.Paskali umekuwa chizi baada ya ajali ya pikipiki pole sana