Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,419
- 2,270
Ndugu yetu amekuwa akisema yeye ni mmoja wa wamiliki wa zile sehemu za kupigia picha na mpaka gari lake lina "poster za photo point" inasemekana yeye wala hausiki kabisa na photopoint, yeye ni kama deiwaka vile. Kama yumo humu atueleze basi
Kamanda inabidi utafute issue nyingine ya kufanya...Hebu soma vizuri majibu ya wadau hapa chini.
Akueleze wewe na nani?
Sasa yeye akiwa deiwaka au mmiliki inakuhusu nini?
Alishawahi kukwambia ni ya kwake?
Huu ndio upashkuna, acha kujadili vitu vya watu, jifunze utu kidogo....
Tafadhali usimuite Mhe Balozi wa Zain deiwaka. Alihusika kwa kiasi kikubwa katika uanzishwaji wa Photo Point. Amiliki au asimiliki hio siyo issue hapa JF. Nadhani unataka kuleta umbea wa kumtafuta mmiliki halisi wa photo point ili iweje. Maadam ulimsikia Michuzi akisema yeye ni mmiliki, naomba amini hivyo hivyo, waliokuambia yeye ni dei waka ni wanga.
Kwahiyo?
Sasa ajieleze ili iweje?
- Brother Issa Michuzi for president! Lyampinga ingia mjini taratibu mkuu! Siku hizi kuna shares kwenye umiliki kwa hiyo unaweza kuwa mmiliki usiwe mmiliki pia, lakini mmiliki anyways!
Have a nice day bro!
Nakuakikishia jamaa sio mmiliki na pia niko JF sikunyingi mkulu nimeamua kurudi upya... Kama malumbano yataendela basi inabidi tulete vithibitisho, when it comes to shares hana hata moja
Naona hapa umeamua kumshikia bango Michuzi.... Kama una vithibitisho weka hapa sio maneno marefu na kulia lia tu..
Tena msome vizuri mdau hapa chini
Unataka kufahamu umiliki wake wa Photpoint ili iweje???? Kwani wewe una kampuni gani??? Discuss great issues for the jamii ana not individuals!!!! Great minds..............Naona una lako jambo na Michuzi so mtafute muyamalize!!!!! Yaani mambo ya saloon,, vijiweni na upashukuna wa wakao barazani unataka kuuleta hapa kwenye jamii Forum ili tupoteze muda kuujadili???? Kwanza unatakiwa umwombe Michuzi msamaha.