Mwanzoni mimi nilitafsiri kwamba Mheshimiwa sana Juma Mnkamia mbunge wa kondoa kusini alitoka VOA kuja kugombea ubunge kwa minajiri ya kusukuma fasta gurudumu la maendeleo la jimbo lake maana Mh. wa awali P. Degela alionekana amechoka. Sasa kutokana na alivyoshobokea suala la nyongeza ya posho nimebadili mtazamo juu yake.
Zitto Kabwe Mbunge kijana kama yeye pamoja na J. Makamba waliona kupokea posho kama hizo za malaki katika kipindi hiki ni kama kutaka kupasua raha wakati wanainchi wako katikati ya shida, wakati Zitto akipinga posho hizo zisilipwe na huenda Rais hajaidhinisha yeye Mkamia alidai ZITTO siyo msemaji wa Rais alikubaliana na maneno ya spika kwamba wavute tu huo mshiko mnene baraka ziliisha tolewa. maskini weee!!! sasa Juma Mnkamia yako wapi posho zimeota mbawa. Wachunguzi wa mambo wanadai kwamba waheshimiwa wote ambao wanataka posho hizo za laki mbili ni wale ambao wanajua wazi kabisa 2015 hawatakuwepo tena mjengoni, hivyo wanataka ile dhana ya chukua chako mapema usepe itendeke, sasa je! na Juma Mnkamia ni mojawapo wa hao? Mbona namwona kama kijana sana. Ana njaa gani? Si asome yaliyomkuta Mwakalebela wa TFF? TFF akakosa na Iringa akakosa.
Mnkamia njaa zako hizo zitakuponza 2015 Kondoa ukose na VOA ukose,
Mliokaribu nae mnisaidie kumhabarisha haya,.
Zitto Kabwe Mbunge kijana kama yeye pamoja na J. Makamba waliona kupokea posho kama hizo za malaki katika kipindi hiki ni kama kutaka kupasua raha wakati wanainchi wako katikati ya shida, wakati Zitto akipinga posho hizo zisilipwe na huenda Rais hajaidhinisha yeye Mkamia alidai ZITTO siyo msemaji wa Rais alikubaliana na maneno ya spika kwamba wavute tu huo mshiko mnene baraka ziliisha tolewa. maskini weee!!! sasa Juma Mnkamia yako wapi posho zimeota mbawa. Wachunguzi wa mambo wanadai kwamba waheshimiwa wote ambao wanataka posho hizo za laki mbili ni wale ambao wanajua wazi kabisa 2015 hawatakuwepo tena mjengoni, hivyo wanataka ile dhana ya chukua chako mapema usepe itendeke, sasa je! na Juma Mnkamia ni mojawapo wa hao? Mbona namwona kama kijana sana. Ana njaa gani? Si asome yaliyomkuta Mwakalebela wa TFF? TFF akakosa na Iringa akakosa.
Mnkamia njaa zako hizo zitakuponza 2015 Kondoa ukose na VOA ukose,
Mliokaribu nae mnisaidie kumhabarisha haya,.