Freetown
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 883
- 73
Nimejiuliza leo ni miaka mingapi imepita tangu enzi hizo tunafundishwa semi mbalimbali za kiswahili, mojawapo ikiwa ni methali mbalimbali mojawapo ikiwa hii "asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu", swali langu methali kama zimekuwa matusi je zimeondolewa/hazifundishwi tena siku hizi katika lugha ya kiswahili kwa kuwa ni matusi??