acha upotoshaji ..hlo tuko ni kipindi kile wanajeshi wa marekani wanamshambulia osam bin Laden ilikuwa live coverage na obama na viongo wake wa jeshi next tyme come here with something useful here!!
Unataka tuwe wajinga mara ngapi? Think outside the box!
View attachment 59221 View attachment 59223 View attachment 59224
Mkuu umeua, sikuwa nina nia ya kuchangia lakini hii picha yako imenilazimisha,naomba kukuuliza ina maana wakati matatizo yametujaa Rais wetu yeye kakalia kupiga picha na boys to men, au ulimaanisha kingine?
kwa kumbukumbu zangu hiyo picha ni ya tukio kipindi kile wanajeshi wa marekani wanamshambulia osam bin Laden ilikuwa live coverage na obama na viongoz wake wa jeshi ,nasubiri kuelekezwa kwa usahhi zaid kama siko sahh katki hili!
kwa kumbukumbu zangu hiyo picha ni ya tukio kipindi kile wanajeshi wa marekani wanamshambulia osam bin Laden ilikuwa live coverage na obama na viongoz wake wa jeshi ,nasubiri kuelekezwa kwa usahhi zaid kama siko sahh katki hili!