Kumbe Mama mkwe!!

Huyu jamaa aki-comment kwenye post......... hii avater yake kama anakejeli vile.................!
avatar32492_3.gif
 
Mwenye kadhia hii jina kapuni......Anasema....Nakumbuka nilitembelewa na mama mkwe wangu,alikua anafanana sana na mwanae(mke wangu)siku ya fedhea hii nilichelewa kurudi kutoka kazini,nilipofika nyumbani niliend moja kwa moja jikoni,niliemkuta nikamziba macho halafu nikamwambia "guess" akajibu "son in low",nikajua ni mke wangu kwani huwa anapenda sana utani kwani hata nguo alikua amevaa za mke wangu,nilitoa mikono machoni na kuipeleka kwenye makalio na kuyapapasa na kuyaminya,kisha akaikamata mikono yangu akageuka halafu mke wangu akawa anaingia nilipogeuka nyuma na kumuona mke wangu nilimtazama niliekua nampapasa na kugundua ni mama mkwe!!Nilishindwa kusema samahani,niliondoka na kwenda chumbani halafu baada ya muda akaja mke wangu chumbani akinicheka kwa kutokua makini.Kesho yake nilisafiri na sikurudi mpaka mama mkwe alipoondoka!

samahani, hivi we ni mkewe shigongo au unafanyakazi katika magazeti yake?
 
Mwenye kadhia hii jina kapuni......Anasema....Nakumbuka nilitembelewa na mama mkwe wangu,alikua anafanana sana na mwanae(mke wangu)siku ya fedhea hii nilichelewa kurudi kutoka kazini,nilipofika nyumbani niliend moja kwa moja jikoni,niliemkuta nikamziba macho halafu nikamwambia "guess" akajibu "son in low",nikajua ni mke wangu kwani huwa anapenda sana utani kwani hata nguo alikua amevaa za mke wangu,nilitoa mikono machoni na kuipeleka kwenye makalio na kuyapapasa na kuyaminya,kisha akaikamata mikono yangu akageuka halafu mke wangu akawa anaingia nilipogeuka nyuma na kumuona mke wangu nilimtazama niliekua nampapasa na kugundua ni mama mkwe!!Nilishindwa kusema samahani,niliondoka na kwenda chumbani halafu baada ya muda akaja mke wangu chumbani akinicheka kwa kutokua makini.Kesho yake nilisafiri na sikurudi mpaka mama mkwe alipoondoka!

Sijui kingefuata kipi kama Mke wako asingeingia, na sijajua baada ya kukupa mikono na kugeuka alikuwa anataka kusema nini ama kufanya nini ukizingatia ulikuwa umeshafanya makubwa mpaka hapo. Pole sana, umakini unatakiwa hasa katika mazingira ya jikoni Mkuu!
 
Hii maneno imenishtua kweli, nyumbani kwangu kaja dada wa mke wangu kula X-Max na wanafanana kwa umbo na sauti, Juzi alivaa gauni la wife nikamkuta sebuleni, mie bila kujua nikasema, 'mambo honey' nikijua ni wife, yeye akajibu, yuko jikoni........... Duh nikabaki kujifaragua..................... Hivi ningekurupuka na kumkumbatia labda yangekuwa makubwa............................! LOL
itategemea na mkeo atalichukuliaje swala hilo
 
Hii maneno imenishtua kweli, nyumbani kwangu kaja dada wa mke wangu kula X-Max na wanafanana kwa umbo na sauti, Juzi alivaa gauni la wife nikamkuta sebuleni, mie bila kujua nikasema, 'mambo honey' nikijua ni wife, yeye akajibu, yuko jikoni........... Duh nikabaki kujifaragua..................... Hivi ningekurupuka na kumkumbatia labda yangekuwa makubwa............................! LOL

ivi watu mnawaza nini? eti dada wa mkeo, mama mkwe, ndogo wa mkeo wanavaa nguo za mkeo. kunannini? kama hawana nguo si uwanunlie? me nguo ya mke wangu havai mtu kwa kuazima , kama atapewa basi atapewa yote yote na hata valia kwangu. kwanza nguo za wife me napigia mabao kila siku sasa hawa wanao vaa vaa kushindia , tena ndani kwangu wana akili hawa?
 
Mwenye kadhia hii jina kapuni......Anasema....Nakumbuka nilitembelewa na mama mkwe wangu,alikua anafanana sana na mwanae(mke wangu)siku ya fedhea hii nilichelewa kurudi kutoka kazini,nilipofika nyumbani niliend moja kwa moja jikoni,niliemkuta nikamziba macho halafu nikamwambia "guess" akajibu "son in low",nikajua ni mke wangu kwani huwa anapenda sana utani kwani hata nguo alikua amevaa za mke wangu,nilitoa mikono machoni na kuipeleka kwenye makalio na kuyapapasa na kuyaminya,kisha akaikamata mikono yangu akageuka halafu mke wangu akawa anaingia nilipogeuka nyuma na kumuona mke wangu nilimtazama niliekua nampapasa na kugundua ni mama mkwe!!Nilishindwa kusema samahani,niliondoka na kwenda chumbani halafu baada ya muda akaja mke wangu chumbani akinicheka kwa kutokua makini.Kesho yake nilisafiri na sikurudi mpaka mama mkwe alipoondoka!

Kwa maoni yangu naona ni kosa kwa Baba kwenda jikoni kama jiko linahudumiwa na mtu zaidi ya Mama, kwa mfano msichana wa kazi au watu wengine. Ila kama Mama peke yake ndio yupo jikoni ruksa Baba kwenda jikoni kutoa kampani na kusaidia vinavyowezekana. Ni hatari Baba kuingia jikoni gafla bila taarifa jiko lililo na watu wengi, ndio mambo ya kumkuta Mama Mkwe, Shemeji, au Housegirl kakaa vibaya (uchi). Wazee wetu zamani walikuwa akifika nyumbani kwanza anajikoolesha au kufanya kitendo chochote kuonyesha amefika. HAPO ALICHEMSHA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom