Tanzania ndo tumefikia hapa!!!!!
Yaani kumbe magamba walikuwa wanamtafuta Ezekia Wenje. Nimesoma katika magazeti ya Jana.
Kwa hiyo sasa siasa ni kuwekeana sumu na kuuwana jamani.
Jamani Watawala mmetumia polisi na mahakama kunyanyasa watanzania.
Mnatafuna rasilimali za watanzania na Kodi za watanzania na bado tu haitoshi mnaua demokrasia.
Sasa imefika mwisho, watanzania waseme hapana na ifike wakati sasa tuandamane kama TUnisia, Egypt, Libya maana kwa njia ya Kura Tanzania hatutatoka. Maana sasa wanatumia DOla na mahakama kuuwa demokrasia ya ukweli
Yaani kumbe magamba walikuwa wanamtafuta Ezekia Wenje. Nimesoma katika magazeti ya Jana.
Kwa hiyo sasa siasa ni kuwekeana sumu na kuuwana jamani.
Jamani Watawala mmetumia polisi na mahakama kunyanyasa watanzania.
Mnatafuna rasilimali za watanzania na Kodi za watanzania na bado tu haitoshi mnaua demokrasia.
Sasa imefika mwisho, watanzania waseme hapana na ifike wakati sasa tuandamane kama TUnisia, Egypt, Libya maana kwa njia ya Kura Tanzania hatutatoka. Maana sasa wanatumia DOla na mahakama kuuwa demokrasia ya ukweli