Kiona
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 933
- 240
Katika harakati za kuendelea kuvuana ******* CCM NEC imewavua maraisi wote wastaafu uanachama wa NEC. Mfa maji huwa haishi kutapatapa hata ukimrushia boya anazama nalo. CHADEMA kiboko manake uwepo wake hichi chama cha wana majeuzi CCM hawalali usingizi.viva CHADEMA